Vijana wa Tanzania hawajui kuongea kiswahili fasaha

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Jan 12, 2017
4,824
5,587
Leo wakati naangalia E newz ya Eatv nimejikuta nawaza watu wengi wa Dar hasa vijana hawaongei kiswahili fasaha pamoja na kujitahidi kuremba sauti na madaha mengi.

Pia nimewaza JamiiForums ingekuwa ipo chini ya serikali jukwaa la siasa na habari mchanganyiko moderators wangekuwa wanafuta hadi baadhi ya comments.

Nimewaza siasa za Tanzania kutokana na milolongo ya matukio mbalimbali inaonekana wazi watanzania wengi hatujielewi hatuna misimamo hatujuhi tunasimamia nini.

Nimejiona tofauti sana.
 
Leo wakati naangalia E newz ya Eatv nimejikuta nawaza watu wengi wa Dar hasa vijana hawaongei kiswahili fasaha pamoja na kujitahidi kuremba sauti na madaha mengi.

Pia nimewaza JamiiForums ingekuwa ipo chini ya serikali jukwaa la siasa na habari mchanganyiko moderators wangekuwa wanafuta hadi baadhi ya comments.

Nimewaza siasa za Tanzania kutokana na milolongo ya matukio mbalimbali inaonekana wazi watanzania wengi hatujielewi hatuna misimamo hatujuhi tunasimamia nini.

Nimejiona tofauti sana.
"Hatujuhi "umeandika utumbo gani wewe mleta uzi unafikiria kwa kutumia... Lakini sio kichwa, "hatujuhi "ni lugha ya wapi, kabla ya kuandika fikiri kwanza
 
Leo wakati naangalia E newz ya Eatv nimejikuta nawaza watu wengi wa Dar hasa vijana hawaongei kiswahili fasaha pamoja na kujitahidi kuremba sauti na madaha mengi.

Pia nimewaza JamiiForums ingekuwa ipo chini ya serikali jukwaa la siasa na habari mchanganyiko moderators wangekuwa wanafuta hadi baadhi ya comments.

Nimewaza siasa za Tanzania kutokana na milolongo ya matukio mbalimbali inaonekana wazi watanzania wengi hatujielewi hatuna misimamo hatujuhi tunasimamia nini.

Nimejiona tofauti sana.


Hicho ulichoandika hapo juu ni Kiswahili fasaha?
 
Umejidai Ujuaji kumbe mtupu.kama wenzio hawawezi kuongea kiswahil fasah mbona na wewe umeshindwa kuandika kiswahili fasaha?
watu wengine bana.
 
Mi huwa nashangaa tuu mtu anashindwa kusema nitalala nao mbele badala yake anasema nitarara nao mbere.
Mtu huyo huyo ukimuambia atamke gari atatamka gali.
Sasa ndio nini?
 
Mi huwa nashangaa tuu mtu anashindwa kusema nitalala nao mbele badala yake anasema nitarara nao mbere.
Mtu huyo huyo ukimuambia atamke gari atatamka gali.
Sasa ndio nini?
Ni kawaida tu kama tulivyoziwea kutamka luga ila tunaandika lugha.
 
Sio "Hatujuhi"----- Ni "Hatujui"
Hivyo umethibitisha hoja ya mleta mada kuwa Watanzania wengi hawajui Kiwahili!!
Wewe sasa vituko Mimi nimeuliza neno "Hatujuhi "sio kiswahili wewe bila kusoma unawashwa sana, utakuwa unafikiria kwa kutumia mashavu
 
Back
Top Bottom