Vijana wa JKT wapata dhamana leo Kisutu

Janja PORI

JF-Expert Member
Jul 31, 2011
825
246
Hatimaye baada ya kusota kwa mwaka mzima bila ya dhamana, leo mahakani Kisutu, vijana 6 wa JKT waliofunguliwa mashitaka ya kukusanyika bila kibali cha Polisi ( unlawfully assembly) wameachiwa kwa kupata dhamana.

Mawakili wa utetezi wametumia hoja nyingi ikiwemo hukumu mpya ya Mahakama kuu ambayo Wakili Jeremia Mtobesya alipinga nguvu za DPP kunyima dhamana.
 
Hatimaye baada ya kusota kwa mwaka mzima bila ya dhamana, leo mahakani Kisutu, vijana 6 wa JKT waliofunguliwa mashitaka ya kukusanyika bila kibali cha Polisi ( unlawfully assembly) wameachiwa kwa kupata dhamana.

Mawakili wa utetezi wametumia hoja nyingi ikiwemo hukumu mpya ya Mahakama kuu ambayo Wakili Jeremia Mtobesya alipinga nguvu za DPP kunyima dhamana.

Loo, bado walikuwa ndani? Wasifungwe maana huo mda tayari wamemaliza kifungo.!!!!!!!!!!!!!
 
Hatimaye baada ya kusota kwa mwaka mzima bila ya dhamana, leo mahakani Kisutu, vijana 6 wa JKT waliofunguliwa mashitaka ya kukusanyika bila kibali cha Polisi ( unlawfully assembly) wameachiwa kwa kupata dhamana.

Mawakili wa utetezi wametumia hoja nyingi ikiwemo hukumu mpya ya Mahakama kuu ambayo Wakili Jeremia Mtobesya alipinga nguvu za DPP kunyima dhamana.
No matter what but wanatakiwa watambue serikali ipo na inafanya kazi.
 
Hatimaye baada ya kusota kwa mwaka mzima bila ya dhamana, leo mahakani Kisutu, vijana 6 wa JKT waliofunguliwa mashitaka ya kukusanyika bila kibali cha Polisi ( unlawfully assembly) wameachiwa kwa kupata dhamana.

Mawakili wa utetezi wametumia hoja nyingi ikiwemo hukumu mpya ya Mahakama kuu ambayo Wakili Jeremia Mtobesya alipinga nguvu za DPP kunyima dhamana.
Unategemea vijana kama hawa hata wakishinda kesi watakua na hisia gani dhidi ya serikali......
 
Naogopa hata ku comment maana nisije kuwa "muovu" kwa maoni yangu.Jina la Mungu lihimidiwe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hii Ndo Tz Acha Sheria Ifuate Mkondo Wake ,,, Hili Ni Fundisho Kwa Wengine Wenye Nyayo Kama Za Hawa Vijana ,,,
 
Sasa kidogo akili zao zitakaa sawa,wale waliokuwa waliwatetea mitandaoni wameshawasahau
 
Back
Top Bottom