mhindijohn
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 469
- 71
Safi sana sasa hawa mamluki inadhihirisha kale kaasali walicholamba kutoka kwa magamba imekuwa laana na sumu sasa haitemeki! Na sasa watimuliwe!
Tunajua wamepandikizwa
Hizi ni kilele za mbwa mwitu hazitompata Dr Slaa
THIS IS TOTALLY RUBBISH
NAKALA KWA KIONGOZI WA HILI KUNDI Nnauye Jr[/QUOTE
SAWA MKUU LKN HAUKUWA NA SABABU YA KUCOPY TAARIFA NZIMA. HII INATUPA SHIDA SANA TUNAOTUMIA SIMU. TAFADHALI SANA UWE MAKINI NA REPY WITH QUOTE.
Ndimara!!!!!!!!!!! Ah!!!!!. Yule kada wa CCM?
Mkuu tunaitika ndiyo kwa taswira uliyoonesha hapa juu. Lakini kwa kuwa kiukweli sisi wengine hatutaki hata kusikia harufu ya JAMAA WA KIJANI basi ni vizuri kiongozi wetu na kipenzi Dr wa ukweli na wana CDM wote wenye kadi za Magamba wazikabidhi kadi hizo ili zihifadhiwe kwenye maktaba itakayoanzishwa na CDM makao makuu. Hakika tusidharau wingu linaloendelea maana lina athari zake kisiasa. Pili siungi mkono hata kidogo kwa hao wanojiita viongozi wa BAVICHA na matamko yao, ninafahamu chama kina mfumo wake wa kujadili mambo yake hivyo tulitarajia hao jamaa kufuata nidhamu hiyo. Wakumbuke yaliyowapata NCCR mageuzi na baadaye TLP miaka ya 2007 na kuendelea. Tusingependa yatokee CDM. Ni lazima viongozi wawe na nidhamu. Na wajiulize hayo matamko yanamfaidisha nani hasa???
Wana bodi wenzangu hapa jamvini, siku moja baada ya yule kijana anayeitwa Salvatory Magafu kujipatia mamlaka asiyokuwa nayo kuwasemea vijana wa Pipooooooooooz Mkoa wa Mwanza, huku akionekana dhahiri kujivika joho la CHADEMA wakati anafanya kazi za yule ibilisi wa maendeleo, siasa na demokrasia nchini, leo msemaji mkuu na rasmi wa BAVICHA mkoani Mwanza, kijana machachari kabisa, Mulebele, ametoa tamko na kauli rasmi. Cheki mistari hiyo.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KAULI YA VIJANA WA CHADEMA MKOA WA MWANZA
KWA nafasi yangu ya Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Mwanza, nimelazimika kutoa ufafanuzi na kuweka kumbukumbu sawa na kutuliza munkari ya vijana wa mkoa huu na nchi nzima kutokana na habari zilizosambazwa kwa njia mbalimbali za upashanaji habari.
Imeripotiwa katika njia hizo za upashanaji habari kuwa BAVICHA wanataka Katibu Mkuu wetu wa Chama, Dkt. Willibrod Slaa, aondoke madarakani na kwamba asipoondoka, wataandaa mandamano ya kumngoa.
Napenda kutumia nafasi hii kusema maneno machache juu ya upuuzi huo ambao kila mtu anajua umetokana, unaratibiwa na kusimamiwa na CCM, ikiwa eti ndiyo moja ya mikakati ya Sekretarieti ya chama hicho inayoitwa kuwa ni mpya.
Kwa nafasi yangu, mimi ndiye msemaji mkuu wa masuala yote yanayohusu BAVICHA kwa mkoa wa Mwanza. Kwa mamlaka yangu ninaelewa fika vijana wa Mwanza hawajawahi, wala hawana mpango wa kubeba propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA na viongozi wetu kuanzia ngazi ya chini hadi ya juu, akiwemo Katibu Mkuu, Dkt. Slaa.
Hongera Kamanda umeonesha ukomavu wa fikra.WACHUKULIENI HATUA KALI ZA KINIDHAMU HAO MAFEDHULI.
Mkuu Ndimara hajawahi kuwa mbunge, ila katika uchaguzi wa mwaka 1995 akiwa NCCR Mageuzi alifanya vizuri sana kabla chama hicho hakijafanyiwa umafia na wana magamba kama wanavyotaka kuifanyia CDM. Baadaye alihamia TLP.Ni kweli ni msomi na yuko smart sana katika uandishi.
TUNTEMEKE mwenyewe amekula ban tangu jana.....masikini mradi wa kina Mwampamba, Chagulani na Shoza unafeli kabla hata ya kuzinduliwa........tatizo ni nini TUTEMENKE, ni mtaji mdogo au ni kodi ilikuwa kubwa sana