Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Utanieleza nini mimi habari za Bonyokwa na Temboni kiwanja unapimiwa kwa miguu, kwanza Kimara hakuna mtu mwenye hati..
Kule hakujapimwa kaka mabondeni, na sehemu kibao tu nawakatia watu..
Bibi yangu yupo mtaa wa Mafia anakula bata tu kwenye nyumba yake..
Huna lolote wewe zaid ya kupigwa **** na Magamba tu