Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Unajua sisi vijana ndio huwa tunakosea. Usitamani kuwa mzee wakati wewe ni mtoto, pia acha watu wakusifie, kama hawata kusifia hata mawe yatanena.
Vijana wengi wa ccm wanatamani sana siku moja waje kuwa Marais ili wakimbize nchi kama Dr John Magufuli.
Wanadhani kifua alicho nacho Magufuli ni chepesi kama vifua vyao.
Ninacho weza waambia ni kwamba Dr Magufuli ni mtu wa ainanya tofauti sana, hata wazungu wanalijua hilo.
1. Ni msomi wa PHD.
2. Amepanda kwenye uongozi wa uadilifu na uchapaji kazi.
3. Ana uzoefu kwenye baraz la mawaziri kwa miaka kama 20.
4. Ana akili nzuri, ya kuelewa mambo na kuyatafutia ufumbuzi haraka kwa ufanisi.
5. Dr Magufuli siyo mtu wa bata, wala starehe.
Vijana wa ccm hawajui kwamba Magufuli amelala porini kwenye ujenzi wa barabara mara nyingi kuliko siku ambazo wao wamechelewa kutoka ofisini.
Uongozi unatemgenezwa, lazima vijana wakae kwenye miguu ya wazee wajifunze.
Sasa utasikia wanajisifia eti nimeacha alama dar es salama ambazo hazita futika milele.
Wakati bila magufuli kutishia kutumbua watu hakuna mradi ulio kua unatembea dar es salaam.
Vijana wa ccm na Chadema zingatieni haya.. kubalini kujifunza, kukua na kuwa na akili. Tamaa hazita tufikisha tunako hitaji kufika.
Vijana wengi wa ccm wanatamani sana siku moja waje kuwa Marais ili wakimbize nchi kama Dr John Magufuli.
Wanadhani kifua alicho nacho Magufuli ni chepesi kama vifua vyao.
Ninacho weza waambia ni kwamba Dr Magufuli ni mtu wa ainanya tofauti sana, hata wazungu wanalijua hilo.
1. Ni msomi wa PHD.
2. Amepanda kwenye uongozi wa uadilifu na uchapaji kazi.
3. Ana uzoefu kwenye baraz la mawaziri kwa miaka kama 20.
4. Ana akili nzuri, ya kuelewa mambo na kuyatafutia ufumbuzi haraka kwa ufanisi.
5. Dr Magufuli siyo mtu wa bata, wala starehe.
Vijana wa ccm hawajui kwamba Magufuli amelala porini kwenye ujenzi wa barabara mara nyingi kuliko siku ambazo wao wamechelewa kutoka ofisini.
Uongozi unatemgenezwa, lazima vijana wakae kwenye miguu ya wazee wajifunze.
Sasa utasikia wanajisifia eti nimeacha alama dar es salama ambazo hazita futika milele.
Wakati bila magufuli kutishia kutumbua watu hakuna mradi ulio kua unatembea dar es salaam.
Vijana wa ccm na Chadema zingatieni haya.. kubalini kujifunza, kukua na kuwa na akili. Tamaa hazita tufikisha tunako hitaji kufika.