Ni muda mrefu tangu tuanze kutoa lawama juu ya WAZEE ambao wamwshika madaraka kuwa hawatuwezeshi vijana hasa katika kutujenga ili tuweze kukubalika katika soko la ajira. Hivyo natoa rai kwa vijana waliopata nafasi ya kushika nafasi (utawala) ambapo anaweza kuleta mabadiliko basi tusizichezee ili tuweze kuokoa vijana walio wengi ambao hawana mwelekeo.
Vijana wenye stashahada na shahada ni wengi lakini milango ya ajira ni mugumu mno hata upige na "fatuma" haivunjiki. Vijana tupendane na kuwa na mshikamano. "TUNAWEZA".
Vijana wenye stashahada na shahada ni wengi lakini milango ya ajira ni mugumu mno hata upige na "fatuma" haivunjiki. Vijana tupendane na kuwa na mshikamano. "TUNAWEZA".