i lead tanzania
Member
- Jul 15, 2013
- 15
- 6
Naweza kusema kuna suala kubwa vijana wamejisahau nayo ni kwamba, unamfanyia campaign mwanasiasa ili yeye apate kazi wakati mwenzangu na mimi kila siku tunalia hatuna kazi, hakuna mwanasiasa yeyote atakaye kulatea kazi na msaada wowote iwe, ccm,cdm,cuf na hata wengineo.
hivi tuseme ukweli hata washike chadema au hata chama chochote pinzani wataibadilisha ikulu kuwa rangi nyingine?au itabaki kuwa nyeupe?
,
ni ukweli kwamba siasa imetuingia vijana sana na hata tukaisahau uzalendo wetu,jamani ni mwanasiasa gani tuliyewachagua ikatokea siku moja akatembea nyumba hadi nyumba kujua nini matatizo ya wananchi wake?kama wanavyofanya wakati wa kuomba kura?
jamani tumejionea wanasiasa wengi waliingia kwenye siasa akiwa kachoka kama mimi na wewe lakini baada ya kushika wadhifa hali yake imebadilika na sie tukiwa vile vile?
jamani vijana tunapotea huku tukishuhudia wenyewe,tunajionea wenyewe wanasiasa walewale lakini wanabadili uniform na majina ya vyama,
alafu akiwa hana hata aibu anakuja kukuahidi yale yale ya chama kile alicho hama,
kama alishindwa kutimiza akiwa chama alichotoka,atatimiza akiwa chama kipya?
Vijana tuamke siasa haina nafasi kwetu,kwanini kila siku tuwe chambo cha wanasiasa? wakati wao na family zao wakiwa salama? vijana wezangu, wanasiasa woooooote lao moja wanayoyafanya katika ukumbi wa mikutano zao ni entertainment kuonyesha wanafanya kazi hali ya kuwa likiongelewa suala la wao kupandishwa mishahara hakuna anayepiga kelele ya ukweli wengi wao ni kujionesha na mwisho wa siku wanajiongezea mishahara na marupurupu yao,
zingatia haya:
(a)kama mwanasiasa anapenda nchi yake na kuwajali wananchi wake,basi na wao wawalete watoto wao katika shule za serikali tulizosoma sisi na hata yeye......
(b)na wao pamoja na family zao watibiwe katika hospitali tunazo tibiwa mimi na wewe.
(c)na wao wanunue vyakula katika masoko tunayo ya nunua sisi (sio katika supermarket).
Angalizo: USHABIKI WA KISIASA NI HATARI KWA MAENDELEO YA TAIFA. KUWA MAZALENDO. KEMEA MAOVU. TANZANIA ISTAWI.
hivi tuseme ukweli hata washike chadema au hata chama chochote pinzani wataibadilisha ikulu kuwa rangi nyingine?au itabaki kuwa nyeupe?
,ni ukweli kwamba siasa imetuingia vijana sana na hata tukaisahau uzalendo wetu,jamani ni mwanasiasa gani tuliyewachagua ikatokea siku moja akatembea nyumba hadi nyumba kujua nini matatizo ya wananchi wake?kama wanavyofanya wakati wa kuomba kura?
jamani tumejionea wanasiasa wengi waliingia kwenye siasa akiwa kachoka kama mimi na wewe lakini baada ya kushika wadhifa hali yake imebadilika na sie tukiwa vile vile?
jamani vijana tunapotea huku tukishuhudia wenyewe,tunajionea wenyewe wanasiasa walewale lakini wanabadili uniform na majina ya vyama,
alafu akiwa hana hata aibu anakuja kukuahidi yale yale ya chama kile alicho hama,
kama alishindwa kutimiza akiwa chama alichotoka,atatimiza akiwa chama kipya?
Vijana tuamke siasa haina nafasi kwetu,kwanini kila siku tuwe chambo cha wanasiasa? wakati wao na family zao wakiwa salama? vijana wezangu, wanasiasa woooooote lao moja wanayoyafanya katika ukumbi wa mikutano zao ni entertainment kuonyesha wanafanya kazi hali ya kuwa likiongelewa suala la wao kupandishwa mishahara hakuna anayepiga kelele ya ukweli wengi wao ni kujionesha na mwisho wa siku wanajiongezea mishahara na marupurupu yao,
zingatia haya:
(a)kama mwanasiasa anapenda nchi yake na kuwajali wananchi wake,basi na wao wawalete watoto wao katika shule za serikali tulizosoma sisi na hata yeye......
(b)na wao pamoja na family zao watibiwe katika hospitali tunazo tibiwa mimi na wewe.
(c)na wao wanunue vyakula katika masoko tunayo ya nunua sisi (sio katika supermarket).
Angalizo: USHABIKI WA KISIASA NI HATARI KWA MAENDELEO YA TAIFA. KUWA MAZALENDO. KEMEA MAOVU. TANZANIA ISTAWI.