Napenda ujibu threads!
Sikuungi mkono kwa hoja zifuatazo
1. Sera nying za ajira hupitiswa na wanasiasa je tusipowachagua waaminifu mambo yatakuwaje
2. Unapodai upinzan hauwez na kuwa lao 1 je chama kipi unapendekeza
3. Si kwel kuwa wanasiasa lao ni 1,kwani serikal ya ccm imekuwa ikipewa ushauri na upinzan na kuudharau mfano a-kuwakamata mafisad badala yake wanawaomba kurudisha fedha
b-kubadil mfumo wa elim ili elimu imsaidie kijana kujitegemea lakn umeona nin wanakifanya
c-kutatua migogoro ya ardhi badala yake ccm wanawapa wawekezaji maeneo ya wazawa
d-kuwakopesha zana za kilimo wananchi,utazame mpango wa kilimo kwanza waliokopeshwa ni wakina nani
e-n.k
5-serikal imekuwa ikipinga sera,hoja na mapendekezo mengi ya upinzan kuhusu vijana na ajira
6-je tusipojihusisha na siasa nani atuamulie? Tusipige kura? Je tukipiga tutawatambua vp wenye nia njema bila ushiriki wetu?
7. Vipi tukiwapigia kampen au kuacha lipi litamfanya mwanasiasa awakumbuke wananchi?
8.tujitume kutafuta walio bora tusitumike...