kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,328
- 12,625
- Thread starter
- #281
KAKA wewe ndo hujui kabisa, sio kwamba madaktari hawahitajiki kabisa kule yapo magonjwa na wagonjwa wachache ambao wanahitaji kuonwa na madaktari pia. Hawa ni wale wagonjwa hot casualty, stroke, CA, wazee wenye degenerative disorders, cosmetic surgery, dental issues. kinachotokea kule ni kwamba vijana wa kule hawapendi kabisa kusoma medicine kwasababu mbalimbali zikiwemo za urefu wa kozi, ukosefu wa ajira, ukosefu wa cadavers, wagonjwa wote kuwa na Bima Za Afya, makampuni ya Bima kule hayapendi wagonjwa wao waguswe na wanafunzi kujifunzia na low pay.Najua ukiwa mjinga hujijui ila wanaoumia ni waliokuzunguka. Ebu nipe ushahidi wa kupungua kwa demand ya madaktari kwa asilimia 75 huko marekani na ulaya kama ulivosema.
Ninavyojua demand ya madaktari imezidi kuongezeka USA na nchi za Ulaya kama graph zinavyoonyesha hapo chini
View attachment 2065325
Nasubiri ushahidi wako kuwa uhitaji wa madaktari marekani ulipungua baada ya kuinvest kwenye preventive medicine
Hali hii inawafanya marekani wa import watumishi wa Afya kutoka abroad ku meet the demand.
Kumbuka kule kama ukiugua tropical diseases unaweza kupoteza uhai mana madaktari N hospitals za kutibu magonjwa kama malaria, typhoid, ni chache sana sawa na hakuna.