harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 967
- 2,627
Kabisa, ni era ya machafuko.Siku hizi ukiongea sense ndio unaonekana mshamba.
Ila watu wajinga ndio wanao trend.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Lakini usiache kutenda wema, penye kuonya usiache pia, onya, kataza, kemea waliokusudiwa bado watapenya.
There still remnants.