Mkuu 2015 nasimama ili kufanya yale yanatakiwa na wananchi kweli ukiangalia tuko nyuma sana kimaendeleo .bado kule anakotoka mbunge airo watu bado wanakunywa maji ya mto Maori.barabara -ndo usiseme niunge mkono tujenge roryaNashangaa vijana wengi wamekuwa kimya na kutoongelea maswala makuu yanayoisibu Rorya,wamebaki kuwa watazamaji tu.
Amkeni sasa kodhluoch yuko nanyi 2015,kwa maswala yote ya kiuchumi.
Tuungane tulete maendeleoWalioleta shida kwa kurudisha maendeleo nyuma ni OYOMBE AYILA na PHILEMON SARONGI kama Oyombe yeye alikuwa analala bungeni. Kwa hiyo chanzo ni kutoka awali.
mkuu 2015 nasimama ili kufanya yale yanatakiwa na wananchi kweli ukiangalia tuko nyuma sana kimaendeleo .bado kule anakotoka mbunge airo watu bado wanakunywa maji ya mto maori.barabara -ndo usiseme niunge mkono tujenge rorya
Rorya kweli ni tabu tupu maana maendeleo hamna. Mfano barabara itokayo Mika kwenda Shirati imewekwa lami kidogo tu haifiki hata utegi. Hiyo barabara ni mbovu sana ina mawemawe na mashimo mengi sana. Mabadiliko yanahitajika sana Rorya maana maendeleo hamna.
mkuu 2015 nasimama ili kufanya yale yanatakiwa na wananchi kweli ukiangalia tuko nyuma sana kimaendeleo .bado kule anakotoka mbunge airo watu bado wanakunywa maji ya mto maori.barabara -ndo usiseme niunge mkono tujenge rorya
Waamshe
bwana sos peter jaluo,kusimama si tatizo la rorya wengi wanasimama je unanini cha kusimamia rorya. Pili ningeshauri uache hiyo jina la jaluo,rorya is multi lingual constituency hatutahitaji majina yanayoonyesha direct tribal,hiyo jina unaweza kulitumia vizuri sana kwenye matambiko yako kuomba mizimu ya kwenu, siyo kwenye jukwa la siasa kuongea maswala ya taifa.
Kodhluoch.
Nashangaa vijana wengi wamekuwa kimya na kutoongelea maswala makuu yanayoisibu Rorya,wamebaki kuwa watazamaji tu.
Amkeni sasa kodhluoch yuko nanyi 2015,kwa maswala yote ya kiuchumi.
Tuungane tulete maendeleo[/QUOT
KWELI KABISA TUUNGANE TULETE MAENDELEO,MUUNGANO UTAANZA KWA VIONGOZI WAUNGANISHI SIYO WATENGANISHI,NI AIBU KUWA KIONGOZI ALIYEUNGANISHA AFRICA ALITOKA MKOANI MARA LAKINI SISI TUNASHINDWA KUUNGANA KAWILAYA TU.
NYERERE ANAHESHIMIKA KWA KUUNGANISHA DUNIA NA AFRICA LAKINI HAPA RORYA TUNAJULIKANA KAMA WANAMUSOMA TUKIWA DA ES SALAAM NA MAENEO MENGINE YA TANZANIA, MUSOMA NDIYO KWAO NYERERE-KWELI NI AIBU HATUNA UMOJA NA KUENDELEA KUTUPIANA MANENO YA UKABILA,USHENZI USHENZI TU,NASEMA WENYE UKABILA WAUTUMIE KWENYE MATAMBIKO YAO SIYO RORYA. TUWE WAMOJA TUINUKE PAMOJA,TUACHE CHUKI ZA KIMASKINI MASKINI KAMA HIVYO.
KODHLUOCH.
mbona na wewe unajiita kodhluoch? Nawe jina lako ni la kijaluo kwani yeye peter. Kafanya kosa. Gani?
:loco:kuongozwa na chama cha mizigo tu kunaonesha ni namna gani watu wasivyojitambua, acheni airo aendelee kuwapa misaada:tape:
mkuu una ushawishi wa kizamani sana,kwa mtu kama mimi hujanishawishi chochote.kwa upeo wangu mdogo wewe nia yako ni uungwe mkono ugombee ubunge ki ushabiki tu wakama simba na yanga.ni vyema ungesema mapungufu na hayo mapungufu una mikakati gani ya kuiziba na kwa njia gani?
mkurugenzi mimi sijakushawishi nimekwambia kuwa kuna umuhimu vijana kuamka na kutokuwa dormant kwenye maswala ya rorya,mapungufu yetu ni mengi ambayo si rahisi kuyaweka pamoja kwenye kipande hichi ila kwa kifupi najua unaelewa vijana wetu wanhitaji elimu,kazi,biashara na ushiriki mpana na wenye dira kwenye maswala mengi ya kiuchumi,jambo ambalo halipo kwa sasa kwa sababu hatujampata kiongozi aliyefikia vijana na kugusa mahitaji yao yote kwa kuyafanya. Ninamengi ya kuwapa vijana rorya,na siyo ushabiki ama kutaka kuungwa mkono. Matatizo ya vijana rorya ni makubwa kuliko kuungwa mkono tu na kushabikiwa kama yanga na simba.
Hatutahitaji ushabiki juu ya matatizo ya watu wetu.
Kodhluoch.