Nimekumiss chibonge ntakuja maskanWewe makabeji nitakutengeneza kachumbari sasa hivi
basi haukupaswa kutushauri tuoe kwa nadharia kwamba tukioa tutapata furaha kama namna ambavyo wewe unaipata...maana suala la ndoa liko very complicated. .ni sawa na3 mzuka tu au biko
Hahahahahah umetisha bkobasi haukupaswa kutushauri tuoe kwa nadharia kwamba tukioa tutapata furaha kama namna ambavyo wewe unaipata...maana suala la ndoa liko very complicated. .ni sawa na3 mzuka tu au biko
Baada ya Corona au ikichelewa kuisha nitafanya maamuzi sahihi. Maana nimepanga ndani ya mwaka huu.
Kila laheriMwaka huu mwezi wa kumi naoa
Wapendwa ngoja nikwambieni,
1.Nilipokuwa sijaoa sikuwa na mawazo mapana ya kufanya maendeleo kwa haraka kwa kuwa nilijiona kijana na napambana pole pole kufikia malengo yangu lakin lakini nikajikuta natumia nguvu kubwa mno kwenye kutafuta pesa
2.nilipokuwa sijaoa nilikuwa naogopa majukumu ya familia na napata pesa lakin nikiganya biashara sifanikiw mafanikio ninayotaraj
3.nilikuwa nikikopa hela kwa ajili ya biashara inakuwa ngumu mno kuisimamia na hatimaye hufa mf Kuna wakati niliwahi fungus duka la vyakula likafa, nikanunua hiace nzima tu kwenye kampuni fulani sikukaaa nayo ikafa
4.kila kitu kinakuwa kigumu na nikitembea na bint nahisi kupewa ngoma nakosa amani vibaya mno
Ijapokua mke wangu wa kwanza nilikua nikiishi nae cjafunga ndoa hapo! Ndipo 2018 nikaamua kutoa posa na kufunga ndoa mambo yakaanza kuchange ikawa hivi
1.nikapata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo Cha kuchakata sembe walau 10 tones per day , nikaweza
2.nikaongeza vingine bili mwaka 2019
3.nikaoa mke wa pili mwaka huo huo 2019
4.2020 nikajaliwa kumpata kibanda
5.najikuta napata hela bila ya kuumiza akili Sana au kufosi king
6.ibada ikawa sehemu ya Maisha yangu
Sasa nimegundua Kuna fadhila nying sana za ndoa ambazo mungu anakuletea hasa ikiwa umepata bahat mke/wake ulonao wakiwa wametulia na hata wewe ikiwa muadilifu
Lengo la Uzi huu mi kuelimishana juu ya fadhila za ndoa
Nakaribisha maoni waliobahatika na wanaotafuta
Kuna watu wameuawa na wake zao (Msuya bilionea), wengine wamefilisiwa, wengine wamepewa ngoma, wengine wamejiua..... Sasa usi-generalize kwamba ni mibaraka tu.Mkuu huu ndo ukweli ila watoto wadogo hawawez kukuelewa
ndoa ni alama ya mtu mwema
na ukishaoa Mungu anakufungulia milango ya baraka
hakuna jambo lisilokuwa na changamotoKuna watu wameuawa na wake zao (Msuya bilionea), wengine wamefilisiwa, wengine wamepewa ngoma, wengine wamejiua..... Sasa usi-generalize kwamba ni mibaraka tu.
Ni vizuri ungetaja baadhi ya hizo baraka kama Jamaa alivyoorodhesha baadhi ya matatizo ya ndoa.hakuna jambo lisilokuwa na changamoto
lakini baraka na heri zinazoletwa na ndoa ni nyingi kuliko shida na changamoto zake
kama hujaoa oa mkuu acha kukariri historia za kina msuya na mengi
Ni kweli ndoa ni mbaraka, iwapo utakuwa na mtu sahihi. Kuoa wrong person ni kosa watu wamefanya na limewa-cost big time. Uko sawa mkuu, ndoa ni njema sana, but.... it must be the right person.hakuna jambo lisilokuwa na changamoto
lakini baraka na heri zinazoletwa na ndoa ni nyingi kuliko shida na changamoto zake
kama hujaoa oa mkuu acha kukariri historia za kina msuya na mengi
kwahyo yesu alikua kwenye mpango wa shetani!?
Ulipopatia zaidi ni hapo kwenye namba 6,maelezo ya pili...Wapendwa ngoja nikwambieni,
1.Nilipokuwa sijaoa sikuwa na mawazo mapana ya kufanya maendeleo kwa haraka kwa kuwa nilijiona kijana na napambana pole pole kufikia malengo yangu lakin lakini nikajikuta natumia nguvu kubwa mno kwenye kutafuta pesa
2.nilipokuwa sijaoa nilikuwa naogopa majukumu ya familia na napata pesa lakin nikiganya biashara sifanikiw mafanikio ninayotaraj
3.nilikuwa nikikopa hela kwa ajili ya biashara inakuwa ngumu mno kuisimamia na hatimaye hufa mf Kuna wakati niliwahi fungus duka la vyakula likafa, nikanunua hiace nzima tu kwenye kampuni fulani sikukaaa nayo ikafa
4.kila kitu kinakuwa kigumu na nikitembea na bint nahisi kupewa ngoma nakosa amani vibaya mno
Ijapokua mke wangu wa kwanza nilikua nikiishi nae cjafunga ndoa hapo! Ndipo 2018 nikaamua kutoa posa na kufunga ndoa mambo yakaanza kuchange ikawa hivi
1.nikapata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo Cha kuchakata sembe walau 10 tones per day , nikaweza
2.nikaongeza vingine bili mwaka 2019
3.nikaoa mke wa pili mwaka huo huo 2019
4.2020 nikajaliwa kumpata kibanda
5.najikuta napata hela bila ya kuumiza akili Sana au kufosi king
6.ibada ikawa sehemu ya Maisha yangu
Sasa nimegundua Kuna fadhila nying sana za ndoa ambazo mungu anakuletea hasa ikiwa umepata bahat mke/wake ulonao wakiwa wametulia na hata wewe ikiwa muadilifu
Lengo la Uzi huu mi kuelimishana juu ya fadhila za ndoa
Nakaribisha maoni waliobahatika na wanaotafuta
unapata utulivu na amani ya mwili na akili, mke kwa mwanaume anaejielewa anakusaidia sana kutulia na kuiona thamani ya maishaNi vizuri ungetaja baadhi ya hizo baraka kama Jamaa alivyoorodhesha baadhi ya matatizo ya ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
jilipue tu mkuu hutojuta yaani mtu ambae ameshaoa kukaa bila mke hawezi japokuwa ndoa ina changamoto nyingi sana milima na mabonde ila usiogope changamoto hizo ndizo zinazokufanya ukueNgoja nilale nifikilie wazo lako, naweza nikàanza kutafuta mchumba mwaka huu .
nmeuliza tu maana ww ndo umekuja na hoja ya kua single ni mpango wa shetani wakati yesu mwenyew alikua single!! huoni inaleta ukakasi!?