Wakati unatafuta bas jitahid na kumwomba munguHiyo ni experience yako mkuu usidhani kwa mwingine itakuwa hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuni nao ni kipaji Kama Hana tabia iyo hanaUna wake wawili.. Una hakiki vipi hawana michepuko? Kwa Tz hii?? Mmh
Tatizo linakuja kwenye vipaumbele mkuu. Kuna mwingine anapata utulivu wa akili kwenye vitu vingine. Kiufupi faida nyingi za ndoa ni subjective.unapata utulivu na amani ya mwili na akili, mke kwa mwanaume anaejielewa anakusaidia sana kutulia na kuiona thamani ya maisha
unajenga familia na kulea watoto wako katika malezi mazuri
riziki inakuwa inakuja katika njia usizozitegemea {hili sikulazimishi kuamin ila ni ukweli mtupu}
...........
............
aisee zipo nyingi sana nikipata mda nikazikumbuka ntaziorodhesha
Oa weweAcha kuassociate mambo?? Tatizo akili ya Mtu inatafuta sababu/chanzo katika kila kitu.
Umeoa umeongeza focus kwenye mambo yako unasema ndoa ndo imekufanikishia??
Na waliooa lakini ni chakali unawaambiaje??
Sent from my iPhone using JamiiForums
kama umri umefika mkuu vuta jiko usiifikirie sana ndoaTatizo linakuja kwenye vipaumbele mkuu. Kuna mwingine anapata utulivu wa akili kwenye vitu vingine. Kiufupi faida nyingi za ndoa ni subjective.
Sent using Jamii Forums mobile app