Vijana oeni maana mnakosa baraka nyingi mno bila kufahamu

POINT YA KWANZA TU UMEFELI

1.Nilipokuwa sijaoa sikuwa na mawazo mapana ya kufanya maendeleo kwa haraka kwa kuwa nilijiona kijana na napambana pole pole kufikia malengo yangu lakin lakini nikajikuta natumia nguvu kubwa mno kwenye kutafuta pesa



"Not everything is for everybody"
 
Wapendwa ngoja nikwambieni,

1.Nilipokuwa sijaoa sikuwa na mawazo mapana ya kufanya maendeleo kwa haraka kwa kuwa nilijiona kijana na napambana pole pole kufikia malengo yangu lakin lakini nikajikuta natumia nguvu kubwa mno kwenye kutafuta pesa

2.nilipokuwa sijaoa nilikuwa naogopa majukumu ya familia na napata pesa lakin nikiganya biashara sifanikiw mafanikio ninayotaraj

3.nilikuwa nikikopa hela kwa ajili ya biashara inakuwa ngumu mno kuisimamia na hatimaye hufa mf Kuna wakati niliwahi fungus duka la vyakula likafa, nikanunua hiace nzima tu kwenye kampuni fulani sikukaaa nayo ikafa

4.kila kitu kinakuwa kigumu na nikitembea na bint nahisi kupewa ngoma nakosa amani vibaya mno

Ijapokua mke wangu wa kwanza nilikua nikiishi nae cjafunga ndoa hapo! Ndipo 2018 nikaamua kutoa posa na kufunga ndoa mambo yakaanza kuchange ikawa hivi

1.nikapata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo Cha kuchakata sembe walau 10 tones per day , nikaweza

2.nikaongeza vingine bili mwaka 2019

3.nikaoa mke wa pili mwaka huo huo 2019

4.2020 nikajaliwa kumpata kibanda

5.najikuta napata hela bila ya kuumiza akili Sana au kufosi king

6.ibada ikawa sehemu ya Maisha yangu

Sasa nimegundua Kuna fadhila nying sana za ndoa ambazo mungu anakuletea hasa ikiwa umepata bahat mke/wake ulonao wakiwa wametulia na hata wewe ikiwa muadilifu

Lengo la Uzi huu mi kuelimishana juu ya fadhila za ndoa

Nakaribisha maoni waliobahatika na wanaotafuta
Kenzy kuja huku uone🤔
 
Wapendwa ngoja nikwambieni,

1.Nilipokuwa sijaoa sikuwa na mawazo mapana ya kufanya maendeleo kwa haraka kwa kuwa nilijiona kijana na napambana pole pole kufikia malengo yangu lakin lakini nikajikuta natumia nguvu kubwa mno kwenye kutafuta pesa

2.nilipokuwa sijaoa nilikuwa naogopa majukumu ya familia na napata pesa lakin nikiganya biashara sifanikiw mafanikio ninayotaraj

3.nilikuwa nikikopa hela kwa ajili ya biashara inakuwa ngumu mno kuisimamia na hatimaye hufa mf Kuna wakati niliwahi fungus duka la vyakula likafa, nikanunua hiace nzima tu kwenye kampuni fulani sikukaaa nayo ikafa

4.kila kitu kinakuwa kigumu na nikitembea na bint nahisi kupewa ngoma nakosa amani vibaya mno

Ijapokua mke wangu wa kwanza nilikua nikiishi nae cjafunga ndoa hapo! Ndipo 2018 nikaamua kutoa posa na kufunga ndoa mambo yakaanza kuchange ikawa hivi

1.nikapata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo Cha kuchakata sembe walau 10 tones per day , nikaweza

2.nikaongeza vingine bili mwaka 2019

3.nikaoa mke wa pili mwaka huo huo 2019

4.2020 nikajaliwa kumpata kibanda

5.najikuta napata hela bila ya kuumiza akili Sana au kufosi king

6.ibada ikawa sehemu ya Maisha yangu

Sasa nimegundua Kuna fadhila nying sana za ndoa ambazo mungu anakuletea hasa ikiwa umepata bahat mke/wake ulonao wakiwa wametulia na hata wewe ikiwa muadilifu

Lengo la Uzi huu mi kuelimishana juu ya fadhila za ndoa

Nakaribisha maoni waliobahatika na wanaotafuta
Muda si mrefu tutaoa tu.
Thanks kwa hizi tips za kuelimishana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa ngoja nikwambieni,

1.Nilipokuwa sijaoa sikuwa na mawazo mapana ya kufanya maendeleo kwa haraka kwa kuwa nilijiona kijana na napambana pole pole kufikia malengo yangu lakin lakini nikajikuta natumia nguvu kubwa mno kwenye kutafuta pesa

2.nilipokuwa sijaoa nilikuwa naogopa majukumu ya familia na napata pesa lakin nikiganya biashara sifanikiw mafanikio ninayotaraj

3.nilikuwa nikikopa hela kwa ajili ya biashara inakuwa ngumu mno kuisimamia na hatimaye hufa mf Kuna wakati niliwahi fungus duka la vyakula likafa, nikanunua hiace nzima tu kwenye kampuni fulani sikukaaa nayo ikafa

4.kila kitu kinakuwa kigumu na nikitembea na bint nahisi kupewa ngoma nakosa amani vibaya mno

Ijapokua mke wangu wa kwanza nilikua nikiishi nae cjafunga ndoa hapo! Ndipo 2018 nikaamua kutoa posa na kufunga ndoa mambo yakaanza kuchange ikawa hivi

1.nikapata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo Cha kuchakata sembe walau 10 tones per day , nikaweza

2.nikaongeza vingine bili mwaka 2019

3.nikaoa mke wa pili mwaka huo huo 2019

4.2020 nikajaliwa kumpata kibanda

5.najikuta napata hela bila ya kuumiza akili Sana au kufosi king

6.ibada ikawa sehemu ya Maisha yangu

Sasa nimegundua Kuna fadhila nying sana za ndoa ambazo mungu anakuletea hasa ikiwa umepata bahat mke/wake ulonao wakiwa wametulia na hata wewe ikiwa muadilifu

Lengo la Uzi huu mi kuelimishana juu ya fadhila za ndoa

Nakaribisha maoni waliobahatika na wanaotafuta
Hao wake wawili watakufilisi na kukuvuruga ni swala la muda tu.
 
kwa hiyo kila aliye kwenye ndoa mambo yake yana muendea vzuri..,kama yanavyo kuendea wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom