Vijana wengi wanaishi juu ya uwezo wao
Wakipata vi 3m wanakimbilia kununua used corola ili watie heshima mjini
# vijana hwataki kulima wote wapo mjini
Wakishakula chips yai na kipaja cha bloiler wanakunywa maji mengi 1.5ltr ya uhai, Wanatafuta sehemu yenye kivuli waanze kumlaumu MAGUFULI