zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Hii kauli huwa wakati mwingine inanikata
Eti unakuta mtu anakwambia vijana inabidi mjiajiri msisubiri kuajiriwa
Sasa wote tukisema tuwe self employed unafikiri maendeleo yatakuwepo...
Hata ukianzisha kampuni utapata wapi staffs na wakati kila mtu amejiajiri..
For instance umestablish kiwanda utapata wapi workers kama kila mtu amejiajiri...
Kutoboa kwenye maisha sio lazma ujiajiri kila mtu Ana passion yake kwa hiyo tusiwafokee vijana....
C.E.O wa google Sundar Pichar ndo C.E.O anayelipwa vizuri yaani mshahara mnono duniani lakini na utajiri wake bado ameajiriwa na Kampuni ya Alphabet inayomiliki Google....
Tukija bongo kwa mfano people like Sallam SK meneja wa Diamond ameajiriwa na Label Ya WCB analipwa vizuri na he's successful..
#Iam Zagarino
Eti unakuta mtu anakwambia vijana inabidi mjiajiri msisubiri kuajiriwa
Sasa wote tukisema tuwe self employed unafikiri maendeleo yatakuwepo...
Hata ukianzisha kampuni utapata wapi staffs na wakati kila mtu amejiajiri..
For instance umestablish kiwanda utapata wapi workers kama kila mtu amejiajiri...
Kutoboa kwenye maisha sio lazma ujiajiri kila mtu Ana passion yake kwa hiyo tusiwafokee vijana....
C.E.O wa google Sundar Pichar ndo C.E.O anayelipwa vizuri yaani mshahara mnono duniani lakini na utajiri wake bado ameajiriwa na Kampuni ya Alphabet inayomiliki Google....
Tukija bongo kwa mfano people like Sallam SK meneja wa Diamond ameajiriwa na Label Ya WCB analipwa vizuri na he's successful..
#Iam Zagarino