Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
.
Hako kabanda kako ka laki7 ikija TRA utalipa kodi million 20 usije kusema hatukukwambiaMwenyewe sina kazi ila nimejiajiri nikimtokea Kidoti, Mkuu atakuja kunitumbua au ataniachia kwa sababu mie nimjasiriamali
Uandishi wake unafanana na Gentmycine...nna wasiwasi huenda....Jamaa unaongoza kuandika nyuzi zenye Title zenye Maelezo malefu.
Kuna comment fikirishi humu! Hiiiii!Magu alipokuwa Dodoma alimwambia Mdogo wangu Katambi aoe, lakini leo alipokuwa Kisarawe sijamsikia akimwambia Jokate aoelewe, wakuu hamuoni kama hiyo ni double standard ?
Ndio huyo huyoUandishi wake unafanana na Gentmycine...nna wasiwasi huenda....
Sasa tunda alilotaka kula huyu Mtalii limekwama koon!Wewe kila mahala ilikuwa inaimbwa tu kuwa Miss Werasaki a.k.a Tidoki Njoo Uketi ni Chakula Kubwa kabisa ya Kimahaba ya Mkemia aliyefuzu Ukemia wake Mlimani Jijini Dar es Salaam nchini Tanzania na Kuipata Doctorate yake huko nchini Ujerumani halafu na Wewe kwa Tamaa zako za Nyege zako Mshindo unataka Kugusa hapo hapo anapogusa aliyekuamini na kukuweka hapo ulipo Kidhamana.
Haya kama hiyo haitoshi kumbe naambiwa ulishatonywa na hadi Masela tena kutoka Kitengoni kabisa ( wanaokupenda ) kuwa Kutongoza tongoza Kwako hovyo hapo ulipo na hasa kwa huyo Tidoki Njoo Uketi wa Werasaki Kunafuatiliwa hivyo uachane nae ukajitia Kudinda na kutaka Kumuiga Mtoto wa Mjini Ali Kiba ambaye mpaka leo anaunyiri ( anakula ) tu huo Mzigo kwa raha zake.
Kwahiyo mnavyotuona Sisi akina Mzukulu hatupendi Kutongoza hovyo Wake za Watu Maofisini na tunanunua tu Migoma mnadhani ni Mabwege?
Angekuwa Vasco Dagama, saizi kesi ya kubaka watoo.....Segereaaaa!Leo nataka nitoke na mpenzi wangu seyaaaa..
Ujue seya nakupendaga sanaaaaa...
Mkuu, ndiyo tuchogeze kwa maneno ya mjini kuwa "wakubwa wanafaidi vinono peke yao". Nakumbuka hata enzi zile tunacheza michezo ya utotoni ya kujificha ama kombolela, kaka mkubwa na dada mkubwa ndani ya michezo hii nyakati za jioni waliposhindwa kuonekana, ndipo ulikuwa ni mwisho wa mchezo, madogo wengine waliobakia na kuanza utaratibu wa kurudi majumbani kwao.Wewe kila mahala ilikuwa inaimbwa tu kuwa Miss Werasaki a.k.a Tidoki Njoo Uketi ni Chakula Kubwa kabisa ya Kimahaba ya Mkemia aliyefuzu Ukemia wake Mlimani Jijini Dar es Salaam nchini Tanzania na Kuipata Doctorate yake huko nchini Ujerumani halafu na Wewe kwa Tamaa zako za Nyege zako Mshindo unataka Kugusa hapo hapo anapogusa aliyekuamini na kukuweka hapo ulipo Kidhamana.
Haya kama hiyo haitoshi kumbe naambiwa ulishatonywa na hadi Masela tena kutoka Kitengoni kabisa ( wanaokupenda ) kuwa Kutongoza tongoza Kwako hovyo hapo ulipo na hasa kwa huyo Tidoki Njoo Uketi wa Werasaki Kunafuatiliwa hivyo uachane nae ukajitia Kudinda na kutaka Kumuiga Mtoto wa Mjini Ali Kiba ambaye mpaka leo anaunyiri ( anakula ) tu huo Mzigo kwa raha zake.
Kwahiyo mnavyotuona Sisi akina Mzukulu hatupendi Kutongoza hovyo Wake za Watu Maofisini na tunanunua tu Migoma mnadhani ni Mabwege?
Sasa tunda alilotaka kula huyu Mtalii limekwama koon!
Mwenyewe kasema....
.... chichiteme....
.....chichimumunye
.....ukitema nchale ..ukimumunya nchalee....
Cheza na mkemia wewe....!
Mkuu, ndiyo tuchogeze kwa maneno ya mjini kuwa "wakubwa wanafaidi vinono peke yao". Nakumbuka hata enzi zile tunacheza michezo ya utotoni ya kujificha ama kombolela, kaka mkubwa na dada mkubwa ndani ya michezo hii nyakati za jioni waliposhindwa kuonekana, ndipo ulikuwa ni mwisho wa mchezo, madogo wengine waliobakia na kuanza utaratibu wa kurudi majumbani kwao.
Amri ya Tisa, usimtamani mke wa jirani yako, wala nyumba yake, wala chochote alichonacho.Boya sana huyo jamaa. Unaachishwa ugali kisa kei. Huyo kama anakua mdogo wako akirudi home unamkata na vibao.
Pumbaf sana. Ameshaleta njaa sasa.
nimemsikia akisema wazaramo wameshindwa kumuoaMagu alipokuwa Dodoma alimwambia Mdogo wangu Katambi aoe, lakini leo alipokuwa Kisarawe sijamsikia akimwambia Jokate aoelewe, wakuu hamuoni kama hiyo ni double standard ?
Ngoja niende nikatupe ndoanonimemsikia akisema wazaramo wameshindwa kumuoa
Hii code dumeWengine wanasema hata buba Leta naye amesababishwa kula mbaazi za CD tikejo ndo maana fewi kandanji
Chungu yeye alikula cha mnyonge maskini dereva wa Halmashauri bwana Lugongo na akamchukua jumla mkewe na bado Ni mkuu wa shule Minaki.Kwa hiyo,unamkejeli Mtela Mwambamba DAS aliyetumbuliwa leo?