MKOLA MLIMA
Member
- Dec 9, 2012
- 55
- 15
siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR
kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.
nawasilisha:
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR
kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.
nawasilisha: