Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

MKOLA MLIMA

Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
55
Reaction score
15
siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR

kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.


nawasilisha:
 
siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR

kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.


nawasilisha:
Khaa!! Aisee babangu labda siyo ndani ya CDM hii ya Dr Mbowe, :cool2:
 
siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR

kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.


nawasilisha:

Mkuu hiyo uliyofanya ni SWOT analysis kweli?

Au unajua? Umeamua kuongea virse versa kwa kuwaeka Mwenyekiti na Makamu wake namba 5 na 6? ili upime UPEPO?
 
siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR

kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.


nawasilisha:
Ni kweli watafaa.
 
Bavicha,Bena Saanane,Mtoi,V:Nyerere,Riziki Maghembe.Hatuna haja ya kuwaficha maana ni imara,wasafi,imara na hodari!
Tafuteni wa uvnyinyiem yenu!
 
Ukitaka demokrasia nenda ACT mkuu,huko wanao viongozi wao washawapanga.
 
Ukitaka demokrasia nenda ACT mkuu,huko wanao viongozi wao washawapanga.
 
Mkuu hiyo uliyofanya ni SWOT analysis kweli?

Au unajua? Umeamua kuongea virse versa kwa kuwaeka Mwenyekiti na Makamu wake namba 5 na 6? ili upime UPEPO?

Dan hana sifa sababu sio mzuri katika kujenga hoja ila hua anapayuka kuliko kujenga hoja, pili ana hasira za karibu so ni vema akawa mwenezi kutoka na sifa tajwa hapo juu. Mruta ni mzuri kujenga hoja na strategist na hata ukimtazama vipindi vya kipima joto hua anaonyesha uwezo wake. Hatari nae ni mzuri pia kama mruta ila strong zaidi hadi leo prof mukandala anajua pale alipokua anawaongoza vijana level square.
 
Bavicha,Bena Saanane,Mtoi,V:Nyerere,Riziki Maghembe.Hatuna haja ya kuwaficha maana ni imara,wasafi,imara na hodari!
Tafuteni wa uvnyinyiem yenu!

ben saanane, hana uwezo wa kumiliki jukwaa hiyo ni sifa kuu ya m/kiti tunayemtaka kama alivyokua anaweza heche. Ben mpe dakika tano hawezi kusimama jukwaani lazima aombe kushuka, mtoi sasa ivi ana miaka 32 so hana sifa za kugombea. Nyerere atakua mjumbe wa kamati tendaji.
 
ben saanane, hana uwezo wa kumiliki jukwaa hiyo ni sifa kuu ya m/kiti tunayemtaka kama alivyokua anaweza heche. Ben mpe dakika tano hawezi kusimama jukwaani lazima aombe kushuka, mtoi sasa ivi ana miaka 32 so hana sifa za kugombea. Nyerere atakua mjumbe wa kamati tendaji.

Ni kweli saa8 zote hzo ni sifa zake na sifa nyengne aliyonayo kuu ana miaka 31 ameshapoteza sifa ya U BAVICHA.
 
ben saanane, hana uwezo wa kumiliki jukwaa hiyo ni sifa kuu ya m/kiti tunayemtaka kama alivyokua anaweza heche. Ben mpe dakika tano hawezi kusimama jukwaani lazima aombe kushuka, mtoi sasa ivi ana miaka 32 so hana sifa za kugombea. Nyerere atakua mjumbe wa kamati tendaji.

subir ben akupe sumu, we mponde tu
 
Back
Top Bottom