Koo Lauma
Senior Member
- Jun 10, 2014
- 184
- 61
mkuu. hivi ben ana cheo gani makao makuu sasa hivi?
Mkuu Cheo chake Muulize Mtendaji Mkuu Makao Makuu Dk Slaa.
mkuu. hivi ben ana cheo gani makao makuu sasa hivi?
siku ya jana uongozi
wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza
tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza
kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa
kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu
ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR
kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.
nawasilisha:
mkuu. hivi ben ana cheo gani makao makuu sasa hivi?
siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola 2015. safu ya uongozi huo ni kama ifutayo.
1. M/Kiti Taifa ........ HATARI FREDY CHACHA
2. Makamu/kiti......... NUSRAT HANJI
3. KATIBU ............. MRUTA JULIUS
4.N/KATIBU ............ PHILIP MWAKIBINGA
5. Mwenezi ............. DANIEL NAFTARI
6. M/Hazina .............ZAINAB MUDHIHIR
kwa upande wa zanzibar naomba mapendekezo yenu.
nawasilisha:
Dan hana sifa sababu
sio mzuri katika kujenga hoja ila hua anapayuka kuliko kujenga hoja,
pili ana hasira za karibu so ni vema akawa mwenezi kutoka na sifa tajwa
hapo juu. Mruta ni mzuri kujenga hoja na strategist na hata ukimtazama
vipindi vya kipima joto hua anaonyesha uwezo wake. Hatari nae ni mzuri
pia kama mruta ila strong zaidi hadi leo prof mukandala anajua pale
alipokua anawaongoza vijana level square.
Udsm gani unayoizungumza wewe ambayo Mruta ana CV nzuri kuliko ya Hatari na Danny Naftali? Udsm ipi hiyo hebu tukumbushe sisi ambao tumesoma pale miaka mitano japo ilitakiwa tukae pale miaka minne.
Udsm hiyo ya Mruta kuvuka level za Naftal na Hatari haipo. Hao vijana wanatakiwa waje CCM wajenge nchi waachane na mambo ya ubabaishaji huko CDM.
Lumumba wapovu yanawatokambona hamna mchagga. mtei hawezi kukubali