Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Siku ya leo nataka kuzungumza na wale vijana wenzangu ambao ni jobless lakini mkoo nyumbani hamna mishe yeyote mnayofanya huku mkitegemea kuna ndugu au jamaa alikuahidi ya kwamba.
Atakufanyia mpango upate kazi kampuni flani au serikalini au kuna hela atakufanyia mpango akupatie ukupe mtaji ufanye biashara.
Nasema hivi binadamu wengi ni wanafiki kamwe usiamini kile unachosikia ila amini kile unachotendewa hawa watu ukiwaamini watakuchelewesha kutimiza ndoto zako.
Fanya kazi yeyote ile halali ya kukupatia kipato utakuja kunishukuru badae.
Atakufanyia mpango upate kazi kampuni flani au serikalini au kuna hela atakufanyia mpango akupatie ukupe mtaji ufanye biashara.
Nasema hivi binadamu wengi ni wanafiki kamwe usiamini kile unachosikia ila amini kile unachotendewa hawa watu ukiwaamini watakuchelewesha kutimiza ndoto zako.
Fanya kazi yeyote ile halali ya kukupatia kipato utakuja kunishukuru badae.