PreGE2025 Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama

PreGE2025 Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
710
Reaction score
1,610
Hii ni zaidi fezea.


Vijana wanasema Gwajima ana sehemu nyingi kufikisha taarifa hiyo lakini kaamua kwenda kwenye media na kwa kufaanya hivyo ni kusababisha taharuki.

Wanasema pia Gwajima kuongelea kuhusu uchaguzi na utenguzi wa viongozi wa vyombo vya usalama ni utovu wa nidhamu, maana wanachaguliwa kwa kufuata katiba na si kwa upendeleo.

Wasema tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo wanasiasa wanatakiwa kuchunga ndimi zao ili wasitoe mambo yanayoweza kuleta machafuko nchini. Wasema wanasiasa wasitumie uchonganishi kama mtaji wa kupata huruma wa kura za wananchi.

Hemedi Hassan Salim, Katibu wa Hamasa Wilaya ya Kinondoni.

"Hakuna mwananchi au kiongozi awe wa CCM au wa CHADEMA hata vyama vingine anayeunga mkono Utekaji, hiyo ni kinyume na utu wetu lakini tusitumie vitendo hivi katika mlengo wa kisiasa"

"Tunaomba Chama cha Mapinduzi kufanya maamuzi juu ya Gwajima. Hatufurahishwi na kumuona bado anakuwa M-NEC na mbunge wetu baada ya kumtukanisha Rais Samia na wananchi wake. Fanyeni maamuzi na kutuletea watu wanaofahamu miiko ya Chama chetu"

Kaijande mwananchi wa Kata ya Kunduchi

"Huku Jimboni alitoa ahadi nyingi sana hasa kwa vijana na hajatimiza hata moja. Alituita vijana akatuandikisha majina ili tuweze kujiajiri akatupikia na wali tukafurahi lakini hajawahi kutimiza. Anasema Bungeni hapewi dakika na hasikilizwi ni muongp, sisi tulitegemea aje atueleze kuhusu kwanini hajatimiza ahadi zake anaenda kumshambulia Rais"

"Mwaka 2020 Gwajima hakushinda kwa kura za maoni, hakuwa mshindi wa kwanza hata wa pili alikuwa mshindi wa tatu. Ila hivyo vyombo anavishambulia sasa hivi ndiyo vilimpa nafasi hiyo"

Wataka Gwajima afukuzwe uanachama


 
Sasa mbona hawajajibu hoja wanaleta majungu. Huko CCM nasikia kwenye katiba yao kuna kipengele linasema kuwa Zidumu Fikra Za Mwenyekiti wa chama. So huko kwao ni kosa kumkosoa mwenyekiti, aibu sana. Yaani wao wenyewe chama chao kina shida ya katiba. Vijana wa CCM wajitafakari hawana hoja, ni waoga, ni machawa na wako kimaslahi. Shame upon them huyu kijana hajitambui. Hapo ni akili ndogo inajibu akili kubwa. Ilibidi wamjibu Gwajima kwa hoja na sio kwa kumnanga, hawajui kuwa wanavyofanya hivyo ndo wanazidi kumpaisha Gwajima.
 
Pale ambapo unajinyea na kuangalia kuhakikisha kama kweli umejinyea ...
Kwaio wanakubali kua hua vyeo wanapewa Bure hata kama haukustahili
 
Wako sahihi, Gwajima afukuzwe
Si mnasemaga nyie huwa mnaheshimu mawazo mbadala ya kila mwanachama?! Hapa imekuwaje?! Yale maneno ya ustahimllivu (resilience) kumbe ni ya mdomoni mioyoni ni mbwa mwitu?!🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kweli vijana wa Tanzani ni wajinga mpaka basi,hawaoni wenzao wa kenya
 
Hii ni zaidi fezea.


Vijana wanasema Gwajima ana sehemu nyingi kufikisha taarifa hiyo lakini kaamua kwenda kwenye media na kwa kufaanya hivyo ni kusababisha taharuki.

Wanasema pia Gwajima kuongelea kuhusu uchaguzi na utenguzi wa viongozi wa vyombo vya usalama ni utovu wa nidhamu, maana wanachaguliwa kwa kufuata katiba na si kwa upendeleo.

Wasema tunaelekea kwenye uchaguzi hivyo wanasiasa wanatakiwa kuchunga ndimi zao ili wasitoe mambo yanayoweza kuleta machafuko nchini. Wasema wanasiasa wasitumie uchonganishi kama mtaji wa kupata huruma wa kura za wananchi.

Hemedi Hassan Salim, Katibu wa Hamasa Wilaya ya Kinondoni.

"Hakuna mwananchi au kiongozi awe wa CCM au wa CHADEMA hata vyama vingine anayeunga mkono Utekaji, hiyo ni kinyume na utu wetu lakini tusitumie vitendo hivi katika mlengo wa kisiasa"

"Tunaomba Chama cha Mapinduzi kufanya maamuzi juu ya Gwajima. Hatufurahishwi na kumuona bado anakuwa M-NEC na mbunge wetu baada ya kumtukanisha Rais Samia na wananchi wake. Fanyeni maamuzi na kutuletea watu wanaofahamu miiko ya Chama chetu"

Kaijande mwananchi wa Kata ya Kunduchi

"Huku Jimboni alitoa ahadi nyingi sana hasa kwa vijana na hajatimiza hata moja. Alituita vijana akatuandikisha majina ili tuweze kujiajiri akatupikia na wali tukafurahi lakini hajawahi kutimiza. Anasema Bungeni hapewi dakika na hasikilizwi ni muongp, sisi tulitegemea aje atueleze kuhusu kwanini hajatimiza ahadi zake anaenda kumshambulia Rais"

"Mwaka 2020 Gwajima hakushinda kwa kura za maoni, hakuwa mshindi wa kwanza hata wa pili alikuwa mshindi wa tatu. Ila hivyo vyombo anavishambulia sasa hivi ndiyo vilimpa nafasi hiyo"

Wataka Gwajima afukuzwe uanachama


Mnaongea mavimavi tuu, Gwajima jana njaa njaa, mbwa nyie, muacheni apiganie nchi yake. Hv mnajua uchungu wa familia ya mdude? Mnajua machungu ya familia ya Kibao na kina soka na wengine? Kama mnajiamiani kwa nini mnamshikilia Lissu? Sisi mumuache mpambane kwa Hoja? Mnavyomshikilia mnatengeneza attention kwa watu hebu acheni mambo ya kuchumia tumbo, naomba Mungu awachukue woteee kwa ajali Amen
 
Vijana wanasema Gwajima ana sehemu nyingi kufikisha taarifa hiyo lakini kaamua kwenda kwenye media na kwa kufaanya hivyo ni kusababisha taharuki.
 
Back
Top Bottom