deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
Kuna redio flani nilikuwa naisikiliza leo (21/03/2015) nikasikia mtangazaji anasema"Leo kuna mvuaa fulni amazing"
Mvua flani amazing ndio inanyeshaje?
Vijana tuache kuwa swaga za ajabu kwani tunapoongea na hizo swaga tunapoteza maana ya maneno napia tusichanganye lugha.
Mvua flani amazing ndio inanyeshaje?
Vijana tuache kuwa swaga za ajabu kwani tunapoongea na hizo swaga tunapoteza maana ya maneno napia tusichanganye lugha.