VIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-
- Zitto Kabwe
- Naibu Katibu Mkuu.
- Mbunge – Kigoma Kaskz – 2005 – hadi sasa.
- Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi – Sahara.
- Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
- John Mnyika
- Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
- Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
- Mbunge wa Ubungo – 2010 hadi sasa.
- Yupo focused.
- Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
- John Heche.
- Diwani wa Tarime Mjini – 2008 – 2010.
- Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
- Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
- Aligombea Uenyekiti wa vijana – akaangushwa na Kafulila.
- Halima Mdee.
- Mbunge – 2005 – hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
- Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
- Ana uthubutu mkubwa sana..
- Dady Igogo.
- Afisa wa Chama.
- M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
- Aligombea Unyekiti wa Bavicha – akaangushwa na Kafulila.
- Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
- Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
- Regia Mtema.
- Ni Mbunge 2010 – (Viti Maalum)
- Aligombea jimbo la Kilombero.
- Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
- Ni Afisa wa Chama.
- Anakubalika na kundi la vijana wa kike.
- Ezekiel Wenje
- Mbunge wa Nyamagana.
- Ana uthubutu.
- Yupo focused.
- Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana – 2010.
- Habib Mchange.
- Amebebwa na siasa za makundi sana.
- Ana ushawishi sana kwa vijana.
- Ana mikakati, yuko focused.
- Aligombea jimbo la Kibaha – 2010 akapata > 40%
- Ana uthubutu + anakubalika.
- Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili – UDOM.
- David Silinde.
- Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 – hadi sasa.
- Ana uthubutu
- John Mrema.
- Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
- Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
- Yupo Strategic na focused.
- Ana uthubutu.
- Amebebwa sana na siasa za makundi.
Wengine ni:-
- Vincent Nyerere.
- Owawa Steven
- Burton Gwakisa.
- Mwakajila Emanuel
- Mhonga Said Ruhwanywa.
VIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-
- Zitto Kabwe
- Naibu Katibu Mkuu.
- Mbunge – Kigoma Kaskz – 2005 – hadi sasa.
- Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi – Sahara.
- Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
- John Mnyika
- Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
- Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
- Mbunge wa Ubungo – 2010 hadi sasa.
- Yupo focused.
- Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
- John Heche.
- Diwani wa Tarime Mjini – 2008 – 2010.
- Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
- Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
- Aligombea Uenyekiti wa vijana – akaangushwa na Kafulila.
- Halima Mdee.
- Mbunge – 2005 – hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
- Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
- Ana uthubutu mkubwa sana..
- Dady Igogo.
- Afisa wa Chama.
- M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
- Aligombea Unyekiti wa Bavicha – akaangushwa na Kafulila.
- Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
- Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
- Regia Mtema.
- Ni Mbunge 2010 – (Viti Maalum)
- Aligombea jimbo la Kilombero.
- Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
- Ni Afisa wa Chama.
- Anakubalika na kundi la vijana wa kike.
- Ezekiel Wenje
- Mbunge wa Nyamagana.
- Ana uthubutu.
- Yupo focused.
- Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana – 2010.
- Habib Mchange.
- Amebebwa na siasa za makundi sana.
- Ana ushawishi sana kwa vijana.
- Ana mikakati, yuko focused.
- Aligombea jimbo la Kibaha – 2010 akapata > 40%
- Ana uthubutu + anakubalika.
- Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili – UDOM.
- David Silinde.
- Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 – hadi sasa.
- Ana uthubutu
- John Mrema.
- Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
- Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
- Yupo Strategic na focused.
- Ana uthubutu.
- Amebebwa sana na siasa za makundi.
Wengine ni:-
- Vincent Nyerere.
- Owawa Steven
- Burton Gwakisa.
- Mwakajila Emanuel
- Mhonga Said Ruhwanywa.
Kijana ni umri wa miaka mingapi mpaka ngapi?
Sisi UVCCM ukifika 31 wewe siyo kijana tena - UVCHADEMA je?
Hujamtendea haki huyu
Kijana ni umri wa miaka mingapi mpaka ngapi?
Sisi UVCCM ukifika 31 wewe siyo kijana tena - UVCHADEMA je?
Hujamtendea haki huyu
akae namba ngapi?Hujamtendea haki huyu
Vijana wangu wa cdm ninao waamini hawa hapa1.Mnyika2.Halima mdee3.Heche4.Paulina5.Kilewo6.Lema7.Nanyaro8.John mrema9.Gwakisa10.Nassari11.Dady igogo12.Regia mtema13.Ben saanane14.Zitto15.Kiwia17.Wenje18.Muhonga19.Chabulani20.SilindeHii ndiyo 20 bora yangu ya vijana wa cdm wanao aminika ndani ya chama na wanao kubalika nje ya chama na wanao jiamini na kujua wanachokisimamia na wanauthubutu na siyo waogaVIJANA 15 BORA WENYE NGUVU CHADEMA HAWA HAPA:-
- Zitto Kabwe
- Naibu Katibu Mkuu.
- Mbunge Kigoma Kaskz 2005 hadi sasa.
- Mshauri wa Rais wa Ujerumani masuala ya kiuchumi Sahara.
- Ana uthubutu. Ana nguvu sana ndani ya Chama.
- John Mnyika
- Mkurugenzi wa Vijana kwa miaka 6.
- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje hadi sasa.
- Amekaimishwa Ukatibu Mkuu mara nyingi.
- Mbunge wa Ubungo 2010 hadi sasa.
- Yupo focused.
- Hana ushawishi ndani ya Chama kwa wanachama wa chini sababu hajichanganyi. Anakubalika na vijana.
- John Heche.
- Diwani wa Tarime Mjini 2008 2010.
- Alibebwa na uchaguzi wa marudio.
- Ana nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya Chama ingawa hana cheo chochote.
- Aligombea Uenyekiti wa vijana akaangushwa na Kafulila.
- Halima Mdee.
- Mbunge 2005 hadi sasa (Viti maalum & Kawe)
- Ni mwanamke kijana anayekubalika sana ndani ya Chama.
- Ana uthubutu mkubwa sana..
- Dady Igogo.
- Afisa wa Chama.
- M/kiti wa kamati ya wagombea kwenye Timu ya Taifa ya Kampeni.
- Aligombea Unyekiti wa Bavicha akaangushwa na Kafulila.
- Ana uthubutu, yupo focused & mkakati.
- Ana ushawishi kwa vijana wa Chadema.
- Regia Mtema.
- Ni Mbunge 2010 (Viti Maalum)
- Aligombea jimbo la Kilombero.
- Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
- Ni Afisa wa Chama.
- Anakubalika na kundi la vijana wa kike.
- Ezekiel Wenje
- Mbunge wa Nyamagana.
- Ana uthubutu.
- Yupo focused.
- Amebebwa na uchaguzi wa Nyamagana 2010.
- Habib Mchange.
- Amebebwa na siasa za makundi sana.
- Ana ushawishi sana kwa vijana.
- Ana mikakati, yuko focused.
- Aligombea jimbo la Kibaha 2010 akapata > 40%
- Ana uthubutu + anakubalika.
- Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili UDOM.
- David Silinde.
- Mbunge wa Mbozi Magh. 2010 hadi sasa.
- Ana uthubutu
Wengine ni:-
- John Mrema.
- Ni Mkurugenzi wa Bunge & Halmashauri.
- Aligombea ubunge jimbo la Vunjo.
- Yupo Strategic na focused.
- Ana uthubutu.
- Amebebwa sana na siasa za makundi.
- Vincent Nyerere.
- Owawa Steven
- Burton Gwakisa.
- Mwakajila Emanuel
- Mhonga Said Ruhwanywa.
hawa ni majimbo mengine ya uhakika 2015.hilo bunge litachimbikaVijana wangu wa cdm ninao waamini hawa hapa1.Mnyika2.Halima mdee3.Heche4.Paulina5.Kilewo6.Lema7.Nanyaro8.John mrema9.Gwakisa10.Nassari11.Dady igogo12.Regia mtema13.Ben saanane14.Zitto15.Kiwia17.Wenje18.Muhonga19.Chabulani20.SilindeHii ndiyo 20 bora yangu ya vijana wa cdm wanao aminika ndani ya chama na wanao kubalika nje ya chama na wanao jiamini na kujua wanachokisimamia na wanauthubutu na siyo waoga
Mkuu kama nawaona vile yaani pale pembeni kakaa1.Nassari2.Eche3.Kilewo4.Gwakisa5.Nanyaro6.Ben wa saanane7.Dady igogo8.ChagulaniHawa ni sura mpya za cdm ndani ya mjengoni 2015 ambazo ninaamini zitaingia kwa gharama yoyote ile kutokana na uthubutu waohawa ni majimbo mengine ya uhakika 2015.hilo bunge litachimbika
.
- Regia Mtema.
- Ni Mbunge 2010 – (Viti Maalum)
- Aligombea jimbo la Kilombero.
- Ni mlemavu anayekubalika na mwenye uthubutu.
- Ni Afisa wa Chama.
- Anakubalika na kundi la vijana wa kike.