Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,520
- 2,251
Tukate mzizi wa fitina Wakuu, kwani hao EU wanatupa bei gani? Ni kweli hatuwahitaji? Hatuhitaji fedha zao?
In tundu lissu voicElimu ya mambo mbalimbali
Ela unapewa kwa masimango ni heri ukuze biasharaTukate mzizi wa fitina Wakuu, kwani hao EU wanatupa bei gani? Ni kweli hatuwahitaji? Hatuhitaji fedha zao?
Hapo kwenye kukuza biashara ndio utata, ukitoka foreign currency unawazungumzia wao. Tutawauzia nini? Au inabidi tujiunge Bricks? Hakuna anayetusimanga sisi ndio tumekua watu wa hovyo kwa muda mrefu sanaEla unapewa kwa masimango ni heri ukuze biashara
Huyu bimdogo kapagawa sio muda ataanza kufungwa kambaTukate mzizi wa fitina Wakuu, kwani hao EU wanatupa bei gani? Ni kweli hatuwahitaji? Hatuhitaji fedha zao?
NIko nje ya madaTukate mzizi wa fitina Wakuu, kwani hao EU wanatupa bei gani? Ni kweli hatuwahitaji? Hatuhitaji fedha zao?
Hawakupi, unaenda kuomba.Tukate mzizi wa fitina Wakuu, kwani hao EU wanatupa bei gani? Ni kweli hatuwahitaji? Hatuhitaji fedha zao?
Tutawauzia nn 😂😂 hujui wao ndo wamejaza wanataka kua wa kwanza kuchimbaHapo kwenye kukuza biashara ndio utata, ukitoka foreign currency unawazungumzia wao. Tutawauzia nini? Au inabidi tujiunge Bricks? Hakuna anayetusimanga sisi ndio tumekua watu wa hovyo kwa muda mrefu sana