kama ni kweli its abt time hawa viongozi wa dini waanze kuwapa live huko makanisaniHuyu jengo si ni mzee wa Kanisa pale azania front ?
Waliofikishwa mahakamani ni wanne akiwamo MWanasheria Bosco KImela ambaye yumo katika kesi za EPA. Wengine ni Simon Eliezer Jengo, Kisima Thobias Mkango na Ally Farjallah Bakari
Waliofikishwa mahakamani ni wanne akiwamo MWanasheria Bosco KImela ambaye yumo katika kesi za EPA. Wengine ni Simon Eliezer Jengo, Kisima Thobias Mkango na Ally Farjallah Bakari
KUna taarifa rasmi kwamba kuna mtumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote kuanzia sasa. Taarifa zaidi baadaye.
Kimela alikuwa ni Kaimu mwanasheria katika BoT, wakati Jengo alikuwa Director of banking, Mkango Deputy director currency of BoT na Bakari alikuwa Director of banking.
Wote wawili cheo kimoja? Au ilikuwa kwa nyakati tofauti?
Amandla....
KUna taarifa rasmi kwamba kuna mtumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote kuanzia sasa. Taarifa zaidi baadaye.