mwanzo wa ngoma ni kuelekea lele, ccm wanayo safari ndefu ya kupumzika, vijana wote ambao wazazi hawana madaraka yoyote ndni ya ccm wanawasindikiza wenzao kuwa wakubwa baadaye, mwanzo ndio huu wawaachie hao mapema wasije anguka nacho maana mshindo utakuwa mkubwa na hatapata kutokea ccm tena ndani ya ardhi ya Tanzania labda wajiheshimu otherwise, god bless all of usto be the witness of the coming thunderstorm.