Kama vigogo wa nchi hii {Tz}wameamua kuigeuza nchi kama ni mradi/ni sehemu ya miradi yao bila kujali maslahi ya walio wengi;ina maanisha tuliobakia tutajibeba wenyewe.
hata ultimate security wanapitaga wakiwa kwenye mipango yao, lakini wanapita mishahara mikubwa kutokana na influence za baba zao, mfano wa lukuvi, wa kandoro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.