mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
2025 wanaelekea wapi?
Uchaguzi 2025 unaweza kuwa mgumu sana au mwepesi sana; ila yote yatategemea na vyama shiriki bila kujali kuwa ni CCM au wapinzani vitakua vimewabebea nini Watanzania wa kada zote kuwaaminisha kile wanachokiuza.
Mungu ibariki Tanzania