Vigogo CHADEMA wahusishwa na chama kipya - CHAUMMA

watu wanakimbia CHADEMA kwa UKANDA, UDINI, UCHAGGA. wanachama wake ni wakristo tu.
 
Gazeti la usalama. Haliuzi, halifi. Mafanikio yake ni kusomwa kwenye tv, redio na hapa jf.
 
watu wanakimbia CHADEMA kwa UKANDA, UDINI, UCHAGGA. wanachama wake ni wakristo tu.
 
Chama cha wachanga,chama cha kikatoliki
 
Upuuzi mtupu kabisa,hivi huyu msajili wa magazeti yuko makini kweli? aaah! lakn ndio walewale tu.
 
Chadema wana husika na kila kitu migomo vyama yaani hapa walipo wanabaki kupapasa tu,hawajui watendanlo !
 

acha kutapika uvundo wako hapa wewe! Kwani ni lazima kila mtu akujue jinsi ulivyooza kwa udini? Umeambiwa hilo gazeti linamilikiwa na vyombo hivyo ulivyo vitaja hapo juu?
 

well said FJM
 
Last edited by a moderator:
Well hawa wote ni wanachama hapa JF tusubiri wao watasema nini?...everything possible under the sun!

uhuhuhu uuu! haky nani wallah! hivi hadi leo tunaamini katika propaganda za namna hii!?
 
Yaani kati ya walio katika hizo picha kuna alieiwacha CDM kwenye mataa nini ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…