Maneno Anania
Member
- Jan 18, 2012
- 51
- 5
Waungwana WanaJF, naomba kuuliza ni vigezo gani vinavyoangaliwa kwa mtu aliyefariki anastahili kuagwa pale Karimjee kitaifa na kufunikwa bendera ya taifa.
Hivi maiti inaagwa ?! ........... kuipatia heshima za mwisho maiti, Tumieni akili kidogo nyie wasomi ! Mko bizee na maiti badala ya kuzika.Waungwana WanaJF, naomba kuuliza ni vigezo gani vinavyoangaliwa kwa mtu aliyefariki anastahili kuagwa pale Karimjee kitaifa na kufunikwa bendera ya taifa.
Nimekuelewa, akili zako ni zile za 'shake well before..........'. Ungefanya hivyo ungeelekeza jibu lako ktk swali.Hivi maiti inaagwa ?! ........... kuipatia heshima za mwisho maiti, Tumieni akili kidogo nyie wasomi ! Mko bizee na maiti badala ya kuzika.
Waungwana WanaJF, naomba kuuliza ni vigezo gani vinavyoangaliwa kwa mtu aliyefariki anastahili kuagwa pale Karimjee kitaifa na kufunikwa bendera ya taifa.
Nimekuelewa, akili zako ni zile za 'shake well before..........'. Ungefanya hivyo ungeelekeza jibu lako ktk swali.
N
Swali linataka solutn, take time to understand before creating confusion. Kama huna cha kuchangia acha maana kukaa kimya ni sehemu ya mjadala na una uhuru wa kuanzisha thread inayoendana na kiwango chako cha uelewa.Ndio wale wale mnaomba kinyago msaada ! Huwezi kuona kuona tofauti ya kuaga maiti !
siwezi kukaa kimya na kupuuzia uzi wa kipuuzi kama huu ! Unalilia wivu maiti !? Au ulitaka babako nae afanyiwe maonyesho Karimjee ! Pathetic !Swali linataka solutn, take time to understand before creating confusion. Kama huna cha kuchangia acha maana kukaa kimya ni sehemu ya mjadala na una uhuru wa kuanzisha thread inayoendana na kiwango chako cha uelewa.
Simple minds discuss people! Hoja ya mimi kulilia maiti inatoka wapi wewe?siwezi kukaa kimya na kupuuzia uzi wa kipuuzi kama huu ! Unalilia wivu maiti !? Au ulitaka babako nae afanyiwe maonyesho Karimjee ! Pathetic !
Pathetic minds discuss and question dead bodies !Simple minds discuss people! Hoja ya mimi kulilia maiti inatoka wapi wewe .***nge? Unasubiri nani akuite wewe ni kichaa! Umeingiaje humu na kuwepo humu jamvini kwa maswali yako ya wendawazimu?
Hivi maiti inaagwa ?! ........... kuipatia heshima za mwisho maiti, Tumieni akili kidogo nyie wasomi ! Mko bizee na maiti badala ya kuzika.
You are really a dead man! No common sen** at all!Pathetic minds discuss and question dead bodies !
Display me at Karimjee and b the guest !You are really a dead man! No common sen** at all!
unavalisha viatu na saa maiti ! Ya Farao ni shule kubwa mgalatia huoni ndani !Wewe ndiye kilaza hopeless kabisa; Mabedui inajulikana wazi hawakuwa na akili ya kuhifadhi maiti zisiharibike ndio maana wanakimbilia kuzika upesi; Mafarao wa Misri walikuwa na akili kuliko Mabedui wa jangwani ndio maana mola wenu akawambia hao watamhifadhi farao ili leo kilaza kama wewe ukaone maiti ya farao kwenye musium ulipe na hela ili uamni. Soma lile daftari lako utaelewa nachokisema.
Now you are comming to the point, do you qualify to be there? Let others say!Display me at Karimjee and b the guest !
Ally, hili swali walitakiwa wachangie Wanajf waungwana. Kwa majibu yako wewe siye, kachangie huko kwa wenye tabia yako.Hivi maiti inaagwa ?! ........... kuipatia heshima za mwisho maiti, Tumieni akili kidogo nyie wasomi ! Mko bizee na maiti badala ya kuzika.