Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

Wakuu mm nimemaliza form 4 mwaka 2O16 na ninataka kusoma mwaka huu 2O24 chuo cha afya cha serikali je watanichukua
 
Na vile vile kwa matokeo haya je ntachaguliwa cozi yeyote ya afya kwa chuo cha serikali?
Chem C
Bios C
phys D
Math C
English C
Hist C
Geo C
Kisw C
Civ C
 
Nina mdogo wangu amesoma masomo ya Arts amepata D 2 ya HISTORY na GEOGRAPHY pamoja na C ya KISWAHILI masomo mengine yote kapata F..Je anaweza kupata chuo huko Zanzibar?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom