KERO Vifusi vimemwaga Barabara Tegeta kwa Ndevu tangu Desemba 2025 kisha vimetelekezwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hapa ni Tegeta kwa Ndevu, hii ni barabara ya kuelekea Chuo cha Mzumbe, sasa hii barabara ilianza kufanyiwa marekebisho tangu Mwaka jana (2025) Mwezi wa Tisa lakini ilipofika Disemba kuelekea Januari 2026 wakamwaga vifusi na tangu hapo hakuna kinachoendelea hadi leo Machi 2026.





 
Serekareni Pesa hakuna hivyo watu wanabadili vipaumbele.
 
Hawa wakandarasi hawaendi na kasi ya hali ya hewa,naona kuna delay tena huko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…