Vifo vingi vya Marais wa Kiafrika vinatia mashaka

Tabia za maraisi wa Africa,zinawafanya wawe na maadui wengi wa ndani na nje.Udikteta,kujifanya miungu watu,ufisadi uliopitiliza,kung'ang'ania kukaa madarakani kwa nguvu hata kama miula yao ya kutawala ikiisha,wizi wa kura,kutesa raia wao na maovu mengine mengi.Kwa style hiyo hawawezi achwa kuviziwa kila kona!
 
Inaweza kuwa kweli.
 
Hii sentensi ya mwisho nimeipenda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…