MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
Kumbe shida iko wapi!?wewe huui na utakufa bado.
sijui utakuwa unakwama wapi!!!
Kumbe shida iko wapi!?wewe huui na utakufa bado.
sijui utakuwa unakwama wapi!!!
Ngoma imebaki kwako. Hata ukifa, hakuna atakayejua humu. Huwenda hata majirani zako hawatajua! Ahahahahahahah! Poor you!!!!Mmoja anajiitaga mbabe kanyooshwa na Covid akijidai eti yuko kwny vita vya kiuchumi.
Ccm bwana, mmedhindwa huko sasa mnataka kuanza kutupangiaBado Mbowe. Chama anakifanya kama mali binafsi!!!
Mtu ajue asijue unakuwa umekufa!Ngoma imebaki kwako. Hata ukifa, hakuna atakayejua humu. Huwenda hata majirani zako hawatajua! Ahahahahahahah! Poor you!!!!
Hahaha mimi ni jiweee,siogopiiiiiiiii,ukinishauri ndio unaharibu kabisa,nikiondoka leo miradi hii itaendelezwa na naniiiiiiiii?Ngoma imebaki kwako. Hata ukifa, hakuna atakayejua humu. Huwenda hata majirani zako hawatajua! Ahahahahahahah! Poor you!!!!
Tatizo kubwa ni Viongozi kujifanya miungu watu, na kujimilikisha nchi kama mali zao, Hawako kwa ajili ya kuleta maendeleo kwenye nchi zao bali, kushibisha matumbo yao na familia zao, haiwezekani raisi au waziri Mkuu yuko madarakani miaka 20. Na viongozi wa namna hio hawajengi taasisi imara katka nchi bali wanajijenga wao, yani kila kitu ni wao. Wanataka watu wale masikini ili wawadanganye, Tajiri ambaye hana masilahi nao lamia afilisiwe. Huu ni muda wa viongozi hasa wa Africa kujenga taasisi imara kek Nchi zao ili hata wakiondoka Nchi ziwe na Amani na hata familia zao ziishi kwa Amani. wajue Amani ni tunda la Haki na Mungu ndiye muamuzi wa uhai wao.Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza . Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Kazi imaendelea ila wewe uko mitandaoni unademka unafikiri kuna kitu utabadilisha?Hahaha mimi ni jiweee,siogopiiiiiiiii,ukinishauri ndio unaharibu kabisa,nikiondoka leo miradi hii itaendelezwa na naniiiiiiiii?
😂😂😂😂 Tz inaendelea na maisha kama kawa na watu hawana hata habari.
Taga una hasira.Kazi imaendelea ila wewe uko mitandaoni unademka unafikiri kuna kitu utabadilisha?
Lile zee hadi usoni linaonesha katili mfyuuu
Thats very trueVifo vingine huwa ni majibu ya maombi ya wanaoteseka. Mungu ni fundi mkuu. Mbona inaeleweka kabisa. Furaha tuliyo nayo ni kubwa mbo. Hata kama sina kumi mfukoni lakini nikiwa na furaha, uhuru na bila hofu huwa hata kilo zinaongezeka. Hakuna kitu kibaya kama hofu maana inaleta stress na matokeo ya stress ni mabaya mbo kiafya.
Asante Mungu kwa kujibu maombi.
Una uhakika?Hivi kwanini wanawake huwa mnafanya conclusion kwa kumwangalia mtu kwa nje? Eti I feel safe with the tall guy,kumbe jamaa anaogopa kuuwa hata mende
Mbona humuongelei anaekuhusu?Angalia Laurent Kabila alivyouawa, mlinzi wake Rashid Kasereka, ambaye baadaye alipigwa risasi na Col Eddy Kapendi. Ni kama mchezo wa kuigiza. Maana inasemekana Rashid alikuwa anasubiriwa na mtu nje ya Ikulu huku ngazi ya kuruka ukuta nje ikiwa imeandaliwa. Mpaka leo hii nani alipanga njama za kumuua Kabila ni ndoto.
Mauaji ya Cyprian Ntayaramirwa na Habyarimana yalionesha namna gani ukiwa Rais wa Kiafrika unakuwa unawindwa ili uuliwe kwa nguvu au kwa kutumia akili.
Leo hii Idris Deby Rais wa Chad anauawa akiwa battlefront, jambo ambalo ni mashaka makubwa.
Kwamba Rais wa nchi anakwenda battlfront bila taarifa kamili za kiusalama?
Duh, watanzania tumuombe Mungu.
Ninyi mlioshindwa kupiga maisha enzi za Jiwe ndio MNA hasira sana. Tunajua kufuata uwelekeo wa upepo tulidunda kwa Che Nkapa, tulidunda kwa JK, tukatusua kwa Jiwe na sasa tunaangalia upepo wa Mama unaelekea wapi ili twende nao. Wewe baki na hasira za Mkizi. Jiwe, Jiwe! Hukumfanya kitu akiwa hai na HUWEZI kumfanya kitu akiwa Hayati. AND THIS IS A FACT OF LIFE!Taga una hasira.
Mtu anatawala watu miaka 30! Anajifanya yeye ndo mungu waoKuna vifo vya baadhi ya watu ni majibu ya vilio vya wengi walio mlilia Mungu
Kama mwendazake alikuwa na manyarwanda 30 yaliyokuwa yanamlinda halafu yakaacha akafa .Wanajeshi wake huyo Dikiteta Idriss hawakumlinda hadi anakufa mbele yao? Ana jeshi la hovyo sana.
Usijiamini sana mkuu ukajiona wewe ndo mwenye akili. Maisha hugeuka. Leo upo juu kesho upo chini. Usidharau watu ukajiona wewe ndo mjanja. Maisha hayana mshindi. Jifunze kuwa humble,la sivyo maisha yatakufanya kitu mbaya sanaNinyi mlioshindwa kupiga maisha enzi za Jiwe ndio MNA hasira sana. Tunajua kufuata uwelekeo wa upepo tulidunda kwa Che Nkapa, tulidunda kwa JK, tukatusua kwa Jiwe na sasa tunaangalia upepo wa Mama unaelekea wapi ili twende nao. Wewe baki na hasira za Mkizi. Jiwe, Jiwe! Hukumfanya kitu akiwa hai na HUWEZI kumfanya kitu akiwa Hayati. AND THIS IS A FACT OF LIFE!