Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa kweli.Tabia za maraisi wa Africa,zinawafanya wawe na maadui wengi wa ndani na nje.Udikteta,kujifanya miungu watu,ufisadi uliopitiliza,kung'ang'ania kukaa madarakani kwa nguvu hata kama miula yao ya kutawala ikiisha,wizi wa kura,kutesa raia wao na maovu mengine mengi.Kwa style hiyo hawawezi achwa kuviziwa kila kona!
Bado Mbowe. Chama anakifanya kama mali binafsi!!!Wafe tu madicteta wote tulipo kama dunia hatuitaji viongozi madicteta
Wew ni mwanachama wa chama chake au unateseka ukiwa wapi?Bado Mbowe. Chama anakifanya kama mali binafsi!!!
Mimi ni Staunch CCM Member!Wew ni mwanachama wa chama chake au unateseka ukiwa wapi?
Ana jeshi makini, wenyewe walishamchokaWanajeshi wake huyo Dikiteta Idriss hawakumlinda hadi anakufa mbele yao? Ana jeshi la hovyo sana.
PouwaWit acha zako, mambo vipi lakini?
Hii sentensi ya mwisho nimeipendaUnaweza kuwa raisi hata miaka elfu ni mbinu tu za kuiendesha nchi,lakini kwa serikali za kwetu yanayowamaliza ni wao kujiona wababe wasiowezeka kufanywa lolote,hilo ni kosa kubwa sana,ukishaona unalindwa na mabazoka na msafara uliosheheni tentedi gilasi ,unajiona upo salama,unashindwa kuelewa kwa nini Inzi anasugua miguu mbele na nyuma.
Huu ni mwaka wao mamaaeHao madikteta acha wafe tu,na bado
Nani najiuliza vivyo.Hivi raisi anaendaje vitani jamani? Is this possible .Tena front kabisa??
Wanajeshi wake huyo Dikiteta Idriss hawakumlinda hadi anakufa mbele yao? Ana jeshi la hovyo sana.
ona sasa unajib kama hauna unaharishaOna sasa unaandika kama unatapika.
Ukitumia akili wewe inatosha.Tumia akili kujibu hoja husika
Ni maneno kwamba “MADICTETA WAFE”. wapi imekaa vibaya?Maneno gani haya?
We bwege muda wote unafikiri kwa makalio,hilo ndio tatizo kubwa.Naamini ukikua utaacha akili za Kisimbe uwe na asubuhi njema ya makuzi