Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,490
Amen, atatuvusha. Kama alivyofanya kwenye hizo waves zilizotanguliaMungu tuu ndio anaweza kutunusuru kwenye hili janga
Amen, atatuvusha. Kama alivyofanya kwenye hizo waves zilizotanguliaMungu tuu ndio anaweza kutunusuru kwenye hili janga
Wewe ni pimbi kweliGazeti la mwananchi limeripoti vifo mfululizo vya wafanyabiashara wa mji wa Moshi kwa kuugua muda mfupi.
My take.
Hivi vifo ukiangalia na waathirika wengi wa kuungua soko la Kariakoo utakuja wengi ni ile jamii iliyoshangilia sana taarifa za tarehe 17/march. Je hasira ya Mungu imeanza kujibu?
![]()
Vifo mfululizo vyatikisa Moshi
Mji wa Moshi unazizima, ndivyo unavyoweza kusema kutokana na mfululizo wa vifo vya watu wenye umaarufu waliofariki ndani ya wiki moja, katika hospitali za mkoa wa Kilimanjaro.www.mwananchi.co.tz
Uliwaona wakishangilia? Nani alikuambia wachaga wote walikuwa ant magufuli?Kwa nini mabalaa iwe kwa walioshangilia kifo cha mwendazake tu
KarmaMoshi na chadema kwa ujumla walishangilia sana kifo cha Magufuli, sasa hasira ya Mungu imeanza kujibu.
Poleni sana