Duh ok.
Ghafla wamekuwa wapole.Moshi na chadema kwa ujumla walishangilia sana kifo cha Magufuli, sasa hasira ya Mungu imeanza kujibu.
Poleni sana
Hongera bhana, uko vizuri sana."Thank you for your kind understanding." -- alisikika beberu akisisitiza.
Humu ndani kuna wajinga hatari...
Usukuma ni itikadi? Misingi yake ni ipi?Hiyo ni itikadi si kabila kama wazaramo au wandengereko.
Bila shaka wewe haumo humo mkuu.
Achana nao mkuu utapoteza muda wako bure tu. Kufa wafe huko Moshi halafu walaumiwe Wasukuma. Mama kaleta chanjo waende wakachanjwe, wavae barakoa na kufuata masharti ya wataalamu. Kulaumu Wasukuma hakutawasaidia cho chote.Usiniquote tena tafadhari
Sina uwezo wa kujadili lelote na wewe
Umeshinda.
Mwendazake hayupo tena. Mwambieni mama chanjo zianzie huko Moshi ili msiendelee kuuwawa na Wasukuma!Ndio wanasema kuwa mwendazake alisema gonjwa hakuna
Msiwe wapotoshaji. Chanjo zimeonyesha kupunguza vifo na kulazwa hospital kwa asilimia kubwa kabisa. Tahadhari zinaendelea kuchukuliwa kwa sababu siyo watu wote wamechanjwa. Ndiyo kwanza nusu ya watu walioko duniani inakabia kupata chanjo ya kwanza. Wengine hamjui lolote na mnapenda kupotosha.Jiwe angekuwepo lawama zote zingeelekezwa kwake,sasa sijui serikali ifanyeje maana huko Japan walikochoma chanjo juzi wametangaza state of emergency Tokyo na hata mashindano ya Olympics yatafanyika bila watazamaji
Mungu tuu ndio anaweza kutunusuru kwenye hili janga
QoundouMoshi na chadema kwa ujumla walishangilia sana kifo cha Magufuli, sasa hasira ya Mungu imeanza kujibu.
Poleni sana
Usukuma ni itikadi? Misingi yake ni ipi?
Uchaga nao ni itikadi? Misingi yake ni ipi?
Aibu!
Asante mkuuSHIMBA YA BUYENZE nisiache kukuitisha kulirejelea bandiko langu kwako kuhusiana na mada hii.
Zaidi sana nisiache kutanabaisha niliowataja kwa majina yao:
View attachment 1849718
ambako aghalabu bila shaka hakuna "Shimba mwenye buyenze wala asiye nao."
Aibu? Yes ni aibu kwao ndiyo maana hatuishi kuwananga.
Misingi ya itikadi zao? - vyema kuwauliza wao maana wanajulikana.
Undengereko, ukurya, uchaga, unyaturu kama itikadi - hao sijawasikia labda unijuze.
Jiwe angekuwepo lawama zote zingeelekezwa kwake,sasa sijui serikali ifanyeje maana huko Japan walikochoma chanjo juzi wametangaza state of emergency Tokyo na hata mashindano ya Olympics yatafanyika bila watazamaji
Acha ungese,hivyo vitu havina mahusianoMoshi na chadema kwa ujumla walishangilia sana kifo cha Magufuli, sasa hasira ya Mungu imeanza kujibu.
Poleni sanaac