Vifaru vya jeshi vyawashitua wananchi

Vifaru vya jeshi vyawashitua wananchi

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685
VIFARU vya jeshi zaidi ya kumi vinasafirishwa muda huu, kutokea uwanja ndege wa Dar, kupitia barabara ya Nyerere kuelekea katikati ya jiji...

Vimeonyesha kuwashitua na kuwashangaza asilimia kubwa ya wananchi.
 
kawaida mkuu,juzi usiku pia nilipishana na vifaru 4 na APCs 4 pale Ubungo vikienda mjini, ukiona hivyo ujue vijana wapo kuilinda nchi!.
 
kawaida mkuu,juzi usiku pia nilipishana na vifaru 4 na APCs 4 pale Ubungo vikienda mjini, ukiona hivyo ujue vijana wapo kuilinda nchi!.

So funny!!! Vifaru vinalinda mjini kwani kuna civil war?
 
VIFARU vya jeshi zaidi ya kumi vinasafirishwa muda huu, kutokea uwanja ndege wa Dar, kupitia barabara ya Nyerere kuelekea katikati ya jiji...

Vimeonyesha kuwashitua na kuwashangaza asilimia kubwa ya wananchi.

Kunani? Huku Arusha jana mchana, pale round about ya Impalla/ Kijenge, JW wametusimamisha kwa dk kumi hivi wakipitisha mizinga sita hivi imebebwa kwenye magari [masemi]. Yalikuwa yakitokea Moshono na kuelekea Philips, sijui waliipeleka wapi. Nilijiuliza kwa nini wanasafirisha vifaa vyao mchana!

Au wanavikusanya kwa ajili ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano
 
VIFARU vya jeshi zaidi ya kumi vinasafirishwa muda huu, kutokea uwanja ndege wa Dar, kupitia barabara ya Nyerere kuelekea katikati ya jiji...

Vimeonyesha kuwashitua na kuwashangaza asilimia kubwa ya wananchi.

kweli kuna watu sijui hamwezi kufikir? Hvi kuna umuhim gan wa kutoa taarifa kama hiz?? Kwan ww ni msemaji wa jeshi?? Unastahiri kufichwa na kufanyiwa mahojiano ili siku ningne ukome kubweka
 
kawaida mkuu,juzi usiku pia nilipishana na vifaru 4 na APCs 4 pale Ubungo vikienda mjini, ukiona hivyo ujue vijana wapo kuilinda nchi!.

Wanalinda nchi ipi? Hao wanalinda viongozi na baadhi ya rasilimali za nchi
 
Wanalinda nchi ipi? Hao wanalinda viongozi na baadhi ya rasilimali za nchi

Hivi ukiona ukakaa kimya roho itakutoka? Kama ulitaka iwe habari mbona hukupiga picha tuone kama kweli umeumia vifaru kusafirshwa mchana? ni kwanini JW wajifiche kwani wako ndani ya nchi ya nani? Mimi nakushauri siku nyingine ukiona hebu piga picha utuletee humu jamvini ili tuamini habari zako mi naona kama unadanganya vile, jitahidi sana uwapige picha mi nitakupongeza saaaanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
So funny!!! Vifaru vinalinda mjini kwani kuna civil war?
inawezekana we ni mgeni kidogo wa dar na kambi mbalimbali zilizopo na mambo mengine si yakumwaga hapa. Ila nilichomaanisha ukiona activity zozote za vijana na kama haujatangaziwa shida yoyote,jua wapo na wapo macho!
 
kweli kuna watu sijui hamwezi kufikir? Hvi kuna umuhim gan wa kutoa taarifa kama hiz?? Kwan ww ni msemaji wa jeshi?? Unastahiri kufichwa na kufanyiwa mahojiano ili siku ningne ukome kubweka
Unamtazamo wa kizamani sana kuhusu upashanaji habari. Enzi hivi za digitali ni tafauti na Enzi zilee za mwalimu ambako kila kitu ni Siri na ukisema unawekwa kizuizini.
 
Kumbukeni muungano day.hayo ni maandalizi.kutakuwa hadi na maonyesho ya parachutes.
 
Hivi ukiona ukakaa kimya roho itakutoka? Kama ulitaka iwe habari mbona hukupiga picha tuone kama kweli umeumia vifaru kusafirshwa mchana? ni kwanini JW wajifiche kwani wako ndani ya nchi ya nani? Mimi nakushauri siku nyingine ukiona hebu piga picha utuletee humu jamvini ili tuamini habari zako mi naona kama unadanganya vile, jitahidi sana uwapige picha mi nitakupongeza saaaanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Maelezo mareefu, kumbe #Team .weka picha
 
kawaida mkuu,juzi usiku pia nilipishana na vifaru 4 na APCs 4 pale Ubungo vikienda mjini, ukiona hivyo ujue vijana wapo kuilinda nchi!.

wanaenda mjini kuilinda nchi ili bodaboda wasiingie mjini?
 
Kumbe wakati sisi tunalala bila chupi na wake zetu kuna watu wapo kazini hawalali.
 
Tarehe 26/4/2014 ni siku ya Muungano hivyo huwa kuna parade ya vikosi vya aridhini ndo tatizo la vijana kutokwenda National service haya mambo wasingeshutuka operation za kijeshi zinafanyika kimya hata raia huwezi kujua ukijua ujue ni kitu kisichokuwa cha siri!Wewe ukiulizwa ni lini uliona upakuaji wa zana za kijeshi!Lakini huwa vinapakuliwa kwa uangarifu mkubwa wakati wewe unavuta shuka wanaume wanafanya kazi!
 
kweli kuna watu sijui hamwezi kufikir? Hvi kuna umuhim gan wa kutoa taarifa kama hiz?? Kwan ww ni msemaji wa jeshi?? Unastahiri kufichwa na kufanyiwa mahojiano ili siku ningne ukome kubweka


Kama ingelikuwa ni siri basi nao wangelivisafirisha kwa ungo wa kichaawi ili visionekane na raia.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Back
Top Bottom