masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,796
- 16,799
fugeni tu maana samaki wamekua ghali
Niuzie hao wanaozaa.
Nitakupataje leo?
Natafuta vifaranga vya samaki Sato (sijui nd'o Tilapia?!)
Nahitaji wachache tu.
Niko Dar.
Nani anaweza kuniuzia?
Kifaranga mmoja ni bei gani?
Kuna jamaa wanawafuga kule chanika. Mi pia nafuga lakini vifaranga wanazalisha...
Kuna jamaa wanawafuga kule chanika. Mi pia nafuga lakini vifaranga wanazalisha...
Natafuta vifaranga vya samaki Sato (sijui nd'o Tilapia?!)
Nahitaji wachache tu.
Niko Dar.
Nani anaweza kuniuzia?
Kifaranga mmoja ni bei gani?
Ndugu pole kwa kutopata majibu sahihi kwa wakati. Mimi najua mtu anayefuga na kuzalisha vifaranga vya samaki kule Kibamba ndani kidogo. Kila kifaranga ni shs.200/= Pia wanatoa ushauri bure wa namna ya kuandaa bwawa na kufuga samaki. Tafuta jamaa anaitwas Fred kwa namba 0717537070
vifaranga vyao sio vzr
unaweza kutoa maelezo zaidi?