Ebenezer-255
Member
- Jan 10, 2015
- 45
- 8
Vifaranga vya kuku wa kienyeji vinauzwa, tupo Kinyerezi.
Kuu vifaranga kuanzia week nampaka mwezi
samahani kwa ujichanganya tupo kinyerezi nafikili
Kuu vifaranga kuanzia week nampaka mwezi
Vinauzwa samahani kwa ujichanganya tupo kinyerezi nafikili apo nimeeleweka
Yaani ninunue kifaranga cha kienyeji wiki 1 hadi 3 sh 5000?! get serious! wakati broiler wakumla leo leo nampata kwa bei hiyo! hiyo!Wa week moja mpaka tatu ni sh 5000 wanachanjo tayali
hahahaaa opportunity cost hiyo,wa kienyeji wanautamu wake banaYaani ninunue kifaranga cha kienyeji wiki 1 hadi 3 sh 5000?! get serious! wakati broiler wakumla leo leo nampata kwa bei hiyo! hiyo!
Weka picha ya vifaranga na mama zaoSasa wapo wa mwezi wamemaliza chanjo @ 5000
Aisee jamaa napajua kwako.Ukifika kwenye banda kila kitu utajionea