Vifaa vya stationery vinauzwa

Vifaa vya stationery vinauzwa

ikamba1

Senior Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
100
Reaction score
26
Habari wana jamvi,
napenda kuwatangazia soko la vifaa vya stationery ambayo nimeifunga muda si mrefu
kuna lamination machine, binding machine, photocopy machine(inahitaji matengenezo kidogo),
na vifaa vinginevyo vingi..kwa mwenye interest tafadhali ni PM..tuelewane kibiashara/tuendelee na taratibu nyingine.
 
Habari wana jamvi,
napenda kuwatangazia soko la vifaa vya stationery ambayo nimeifunga muda si mrefu
kuna lamination machine, binding machine, photocopy machine(inahitaji matengenezo kidogo),
na vifaa vinginevyo vingi..kwa mwenye interest tafadhali ni PM..tuelewane kibiashara/tuendelee na taratibu nyingine.
vipi, hailipi?
 
hiyo copy machine ni aina gani na sh ngapi mkuu?
 
habari wana jamvi,
napenda kuwatangazia soko la vifaa vya stationery ambayo nimeifunga muda si mrefu
kuna lamination machine, binding machine, photocopy machine(inahitaji matengenezo kidogo),
na vifaa vinginevyo vingi..kwa mwenye interest tafadhali ni pm..tuelewane kibiashara/tuendelee na taratibu nyingine.

nipigie tuonge biashara 0759149202
 
inahtaj matengenezo madogo kama yap na ni photocopy aina gan na gharama yake ikoje?
 
Lamination ya aina gani na ni bei gani?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Huyu jamaa lazima ashindwe tu biashara maana ni poor in business negotiations,bandiko zote hizo hata moja no reply?.Namshauri akafanye biashara ya kukatia watu majani ya kulishia ngo'mbe huku Salasala na Pugu.
 
Back
Top Bottom