Ukiangalia inasaidia kusahau shida.Full burudiko bin tumbuizo.Nyako nyako nyakooooo...Konya konya konyaaaaa!Nomah sana, wakati wenzetu wanawekeza kwenye Midege na Teknolojia mbalimbali.
SISI TUNAVUNJA MATOFALII!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Muhammad Ali alikuwa hazuguki mitaani kupiga watu hovyo.Nilitegemea watumie nguvu zao na ushawishi wao kumbonda bonda urusi na Irani, lakini naona nawao wanahofu.
sio kila mtu anawaza vita za kijinga zisizo na faida kwaoNilitegemea watumie nguvu zao na ushawishi wao kumbonda bonda urusi na Irani, lakini naona nawao wanahofu.
sio kila mtu anawaza vita za kijinga zisizo na faida kwao
Anasababu yakufanya hivyo huko Ukrein kumbonda bonda Urusi, napia anasababu yakufanya hivyo Kwa Iran Kwa kufadhali vikundi vya magaidi, hapo middle east.Muhammad Ali alikuwa hazuguki mitaani kupiga watu hovyo.
"Rumble in the Jungle"
😄😃😁Nomah sana, wakati wenzetu wanawekeza kwenye Midege na Teknolojia mbalimbali.
SISI TUNAVUNJA MATOFALII!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Haina uwezo wa kuruka kutoka kwenye manowari..Mm sio mtaalam ila hiyo ndege kubwa inaweza kuruka Kwa mbinde sana na ikiruka haitoweza kutua Tena kwenye hiyo meli
😀😄Wakikusukia Hamas umekwama. Hamas wamesema watawabonda Marekani na Israel mpaka wachakae chakachaka!🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo majeshi yalikuwa yenye nguvu kwa wakati huo. Kila zama na historia yakeYametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Yeah hakuna aircraft carrier yenye uwezo wa kubeba B-52Kabisa mkuu.
US NAVY hawa-operate B-52.
Hujui historia wewe. Marekani hawezi kupigana pekee yake. Taja vita kimoja Marekani kapigana pekee yake? Vietnam umeona walivyokimbia. Soma Quran utajua historia ya dunia usisome vitabu vya wazungu watakupotosha. Wazungu ndio waliosema wewe chimbuko lako nyani. Biology ya wazungu hioHawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama waajemi, waamedi, warumi, wamisri, lakini jeshi la USA ndo jeshi lenye nguvu katika historia ya dunia.
Ni kweli check hilo dude hapo
View attachment 2884637
Hujui historia wewe. Marekani hawezi kupigana pekee yake. Taja vita kimoja Marekani kapigana pekee yake? Vietnam umeona walivyokimbia. Soma Quran utajua historia ya dunia usisome vitabu vya wazungu watakupotosha. Wazungu ndio waliosema wewe chimbuko lako nyani. Biology ya wazungu hio