Vifaa vya gari kama wanavyoiba

Vifaa vya gari kama wanavyoiba

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
783
UMHM WA RIBITI KWENYE GARI

ANGALIA VIDEO HII JINSI WANAVYOIBA KILA KIFAA CHA KWENYE GARI
Niliibiwa side mirror juzi kati nimechoka ndani ya muda mfupi wameshaiba side mirror zote mbili gari aina ya IST

 
UMHM WA RIBITI KWENYE GARI

ANGALIA VIDEO HII JINSI WANAVYOIBA KILA KIFAA CHA KWENYE GARI
Niliibiwa side mirror juzi kati nimechoka ndani ya muda mfupi wameshaiba side mirror zote mbili gari aina ya IST


KUMBE WANAJIFUNZA HUKU KWENYE MITANDAO
 
Tutafanyaje wezi wasituiibie vifaa vya kwenye magari jamani. Juzi wameiba side mirror zangu zote. Ndani ya muda mfupi tuu[/QUOTE}

Pole sana, inauma Ndugu nikupe dozi moja hataree... ikimpata mwizi huyo inapelekesha kuugua akili (kichaa/mwehu/uenda wazimu) ??
 
Tutafanyaje wezi wasituiibie vifaa vya kwenye magari jamani. Juzi wameiba side mirror zangu zote. Ndani ya muda mfupi tuu

Mi nashauri ufunge alarm. Si mbaya kama umepiga ribit weka na alarm. Mara nyingi huwa wanapata wakati mgumu kwenye gari zenye alarm.
 
Mi nashauri ufunge alarm. Si mbaya kama umepiga ribit weka na alarm. Mara nyingi huwa wanapata wakati mgumu kwenye gari zenye alarm.

Wanaiba side mirrors huku unaendesha kwenye foleni alarm inasaidia kwa kiasi kidogo
 
Mi nashauri ufunge alarm. Si mbaya kama umepiga ribit weka na alarm. Mara nyingi huwa wanapata wakati mgumu kwenye gari zenye alarm.
Hata Ufunge Alarm Wataiba 2 Inabidi 2uwe Mtandao Wao Na Gari Kama Ist Escudo Nk Ndio Zinazoibiwa
 
Hata Ufunge Alarm Wataiba 2 Inabidi 2uwe Mtandao Wao Na Gari Kama Ist Escudo Nk Ndio Zinazoibiwa
Dawa yao ni Bastola basi, unavunja mguu inatosha anaenda kuwaambia wenzake
Wanaiba side mirrors huku unaendesha kwenye foleni alarm inasaidia kwa kiasi kidogo

Mi nashauri ufunge alarm. Si mbaya kama umepiga ribit weka na alarm. Mara nyingi huwa wanapata wakati mgumu kwenye gari zenye alarm.
 
Dawa yao ni kugomea kununua used... wakiiba nunua mpya Dukani watakaa navyo wajitizamie majumbani mwao....
 
Back
Top Bottom