mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,757
Hamthamini utu wa mtu,little sarary, many work,working under pressure and you dont appreciate what i do.kwa mfumo huo kufanikiwa itakuwa kazi hata kama mna mtaji wa matilioni,hata kama huna ajira thamini elimu uliyonayo mwamini mungu ipo siku utapata kazi kuliko kufanya kazi na hawa wavietnam,mtu anafiwa hamumpi ruhusa ya msiba eti mnataka atoe taarifa siku tatu kabla,(stupid), mshahara wenyewe mnaripa kama vibarua wakati watu wana elimu zao.mshahara laki4-tax 12%-insuarance10%=allowance ya mfanyakazi wa tigo,then hamjari utu wa mtu ndani ya nchi yake.Mpaka mwezi wa8 mliopanga kuoperate mtabaki nawasio jitambua na hizo probation zenu,after probation mnamtema mtu mnaajiri mwingine,mishahara mnatoa kama mkononi kama mmeajiri mafundi ujenzi(STUPID)
KAMA HAUTHAMINI GHARAMA YA ELIMU YAKO NENDA KAFANYE KAZI BUT USHAURI TRUST YOURSELF AND BE EXPENSIVE SOMETIMES.
KAMA HAUTHAMINI GHARAMA YA ELIMU YAKO NENDA KAFANYE KAZI BUT USHAURI TRUST YOURSELF AND BE EXPENSIVE SOMETIMES.