TTCL sio kusema hawako kwenye mawasiliano ya simu za mkononi wapo ila technologia iliyokuwa inatumika ilikuwa ni ya CDMA ambapo kuna simu special ambazo zinasupport line zake ila hivi karibuni wamesain mkataba na Huawei technologies ili kuweza kulouch GSM ambapo line ya TTCL baada ya kukamilika kwa mradi itaweza kutumika katika simu za kawaida...sijua umenipata hapo mkuuu?sasa kama ttcl haijafa kwa nini hawapo kabisa katika mawasiliano ya simu za mkononi? hujuma au nini?
TTCL sio kusema hawako kwenye mawasiliano ya simu za mkononi wapo ila technologia iliyokuwa inatumika ilikuwa ni ya CDMA ambapo kuna simu special ambazo zinasupport line zake ila hivi karibuni wamesain mkataba na Huawei technologies ili kuweza kulouch GSM ambapo line ya TTCL baada ya kukamilika kwa mradi itaweza kutumika katika simu za kawaida...sijua umenipata hapo mkuuu?