Vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo

Joined
Apr 6, 2024
Posts
17
Reaction score
24
Chanzo Kikuu:
# Maambukizi ya bakteria Helicobacter pylori (H. pylori) chanzo chake ni matumizi ya muda mrefu ya dawa za kupunguza maumivu kama Aspirin, Ibuprofen, Diclofenac).

# Dalili zake ni pamoja na:-
Maumivu ya tumbo sehemu ya juu.
Gesi Kujaa tumboni au kuvimbiwa mara kwa mara.
KuWa na kichefuchefu au kutapika.
@Kukosa hamu ya kula na kupungua uzito.
mara chache mgonjwa hutapika damu au kupata haja kubwa yenye rangi nyeusi.

# Vidonda vya tumbo vikishindikana kutibiwa mapema vinaweza kuleta madhara makubwa kiafya.

#Ukiona dalili hizi usisite kutafuta ushauri wa mtaalamu wa afya mapema.

R.J.Counselling&Medical Consultant
+255 692 689 788
WhatsApp/Sms/Call
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom