juliana coaster22
Member
- Oct 3, 2022
- 28
- 17
Msaada wa dawa jaman nina vidonda kwenye ulimi yapata wiki sasa nashindwa kula vinauma mno
Aisee, pole mkuu.
Kapime upungufu wa kinga kwanza
Mkuu pole sana nenda hospitali ukatibiwe usipo pona nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.Msaada wa dawa jaman nina vidonda kwenye ulimi yapata wiki sasa nashindwa kula vinauma mno View attachment 2449167
View attachment 2449167
Tumia hii dawa mkuu huwa wanatoa kichupa kimoja wewe tumia 2 ama 3 mm nliugua hii kitu asikwambie mtu. Hao n8 candidas wadudu wa kwwnye mbunye, wanahamia mdomoni mdomo unanuka mbunye halafu ladha inaishaJaribu Nystatin syrup.
Na vitamin c
Jiepushe na masuala ya kula visivyolika. Acha viumane venyewe
Tumia hii dawa mkuu huwa wanatoa kichupa kimoja wewe tumia 2 ama 3 mm nliugua hii kitu asikwambie mtu. Hao n8 candidas wadudu wa kwwnye mbunye, wanahamia mdomoni mdomo unanuka mbunye halafu ladha inaisha
mbunye!! ndo nini hicho?
Afu huyu aloniuguza huu ujinga amekuja juz jana ananiambia nizame nikamwambia acha ujingaHahaha kipochi manyoya
Kuna wadada wanazama uvinzaNyie huyu ni mdada so msimsingizie kuzama uvinza.😉🤐
Nilijuwa tu hapa watakusingizia ati ulishika koni.
pole kama ni vidonda vya kawaida sukutua chunvi au med oral.
Hospitali wanasemaje.Msaada wa dawa jaman nina vidonda kwenye ulimi yapata wiki sasa nashindwa kula vinauma mno View attachment 2449167
View attachment 2449167
Kama ni msafi🤭Kuna wadada wanazama uvinza
😃Kama ni msafi🤭
what a mess. Mfs are suffering because of the womanTumia hii dawa mkuu huwa wanatoa kichupa kimoja wewe tumia 2 ama 3 mm nliugua hii kitu asikwambie mtu. Hao n8 candidas wadudu wa kwwnye mbunye, wanahamia mdomoni mdomo unanuka mbunye halafu ladha inaisha