mtunzi ni YAMI ALADE(original version) ila aliye iandika upya Kwa kiswahili ni BENIE WA SAUTI SOULasante kwa taarifa...
je,ni nan mtunzi wa hii nyimbo..!?
Sure, na pia mpenzi wake mpya BENIE yule wa SAUTI SOUL nae kaplay pati kubwa kuhakikisha YEMI anaimba kwa kiswahili.Nadhani ushiriki wake Coke Studio Africa umechangia yeye kuimba kiswahili maanake Juakali aliyekuwa anashirikiana naye alikuwa anachana kiswahili mwanzo mwisho na ilikuwa inabamba sana.
KWELI KABISAInspirational song. Mshukuruni Mungu kwa kila jambo, kwa maana hayo ni mapenzi yake.
"Maana mtini hautachanua maua, Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda; Taabu ya mzeituni itakuwa bure, Na mashamba hayatatoa chakula; Zizini hamtakuwa na kundi, Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng'ombe; Walakini nitamfurahia Bwana Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu." - Habakuki 3:17-18
Benie from Sauti soul ndiye alie sababisha hili pini kwa kiswahiliNasikia huo wimbo ametafsiriwa na The Akilz Kubwa.
Kajaribu mbona sisi tunachapiaga kiswahili japo ni lugha yetu? mahali pakuweka (R) tunaweka (L) Mfano Ramani unakuta mtu anasema Lamani.Sasa ukikosa useme asandee ya nini? Na yeye Bora aimbe where's her Johnny Tu.