Video ya kutisha bodycam imewekwa hadharani baada ya Polisi weusi watano kumuua kikatili mtu mweusi huko Marekani.

Machame Juu

JF-Expert Member
Jul 25, 2013
1,510
3,332
Video ya kutisha ya bodycam inatarajiwa kuwekwa hadharani huko Mephis Marekani baada ya polisi watano weusi wa marekani kumuua kikakatili Tyre Nicholus kwa kumpiga mfulululizo mtu mweusi kwa uendashaji mbaya wa gari.
Screenshot_20230128-112629.jpg
Hata hivyo hakuna ushahidi alikuwa akiendesha gari vibaya.
Screenshot_20230128-112612.jpg


Mkuu wa Polisi wa Memphis mwanadada naye Black American ametahadharisha video iyo ni ya kuogofya na hajawahi kuona kitu cha kutisha kama hicho na kuendelea kusema 'It is about human dignity, integrity, accountability and the duty to protect. As this video will show – it doesn't matter whose wearing the uniform.'
MG_7593-Recovered-scaled.jpg


Wakati huo Joe Biden rais wa Marekani amewaomba wamerakani wawe wavumilivu wasidanye fujo baada ya video iyo ya bodycam kuwekwa hadharani.

Piga picha ingekuwa Polisi wazungu kufanya hivi?

Video iyo hapo chini 👇🏿

 
TUSUBIRI ILE KAMPENI YA BLACK LIVES MATTER.
WAAFRIKA ALIETUROGA ALIKOSEA SANA
Wamarekani weusi waliokulia huko wanawabagua weusi wengine wakuja, ukishaongea lafudhi yako wakaona sio yao kazi unayo nahisi hata huyo sio mzaliwa was huko
 
Ni vizuri huu uzi unatufanya watu weusi humu tujitambue kuwa sisi bado sana kuelekea kwenye ustaarabu, kuna uzi humu kwa sasa unakimbiza sana, mtanzania aliyezamia sehemu za Congo, kuna baadhi ya simulizi zinatisha kuwa utanzania wako unaweza kuwa ni death sentence hapa hapa jirani zetu!
 
Video ya kutisha ya bodycam inatarajiwa kuwekwa hadharani huko Mephis Marekani baada ya polisi watano weusi wa marekani kumuua kikakatili Tyre Nicholus kwa kumpiga mfulululizo mtu mweusi kwa uendashaji mbaya wa gari.View attachment 2498175 Hata hivyo hakuna ushahidi alikuwa akiendesha gari vibaya.View attachment 2498177

Mkuu wa Polisi wa Memphis mwanadada naye Black American ametahadharisha video iyo ni ya kuogofya na hajawahi kuona kitu cha kutisha kama hicho na kuendelea kusema 'It is about human dignity, integrity, accountability and the duty to protect. As this video will show – it doesn't matter whose wearing the uniform.'View attachment 2498178

Wakati huo Joe Biden rais wa Marekani amewaomba wamerakani wawe wavumilivu wasidanye fujo baada ya video iyo ya bodycam kuwekwa hadharani.

Piga picha ingekuwa Polisi wazungu kufanya hivi?

Video iyo hapo chini 👇🏿

View attachment 2498182
Polisi makatili tu wananiboa sana na roho zao mbayaa
 
Watarndelea kuandamana kupinga Police Brutality. Au sababu blacks ndio wachune!?! Ndio maana wameombwa wakaushe na Rais wao. Police hawapendwi awe Black au White
Ingekuwa kafanya mzungu washaandamana black lives matter Haya sasa wao kwa wao tuone sasa
 
Mwafrika akipata kacheo kwa mzungu lazima amgeuke na kunyanyasa mweusi mwenzie.

Tuko hivyo Wala sishsngai.
 
Back
Top Bottom