Mwimbo wa taifa wa Tanzania unanipa goose bumps. Ivory Coast kiasi inanikumbusha Cameroon ya 1990, hopefully watafanya maajabu huko SA.
umeona wakati wa wimbo wa taifa wa IC walivyosimama? waligeuka upande? au ndio style yao? wabongo wapiiii...ila Maximo alikuwa anaimba wimbo wa taifa kwa kiswahili!